chadema ni chama makini ndio maana Sabodo katoa ofa ya visima ktk majimbo yote sio magamba waliokubuhu kufisadi misaada ya inayotolewa nchi za hisani na saizi bila aibu wanataka kutafuna fedha ya DOWANS.asante kwa kuiweka clear zaidi. Naona pro-CDM hawatengi muda wa kufikiria.