Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Umeandika vyema kuwa watu wana imani na CHADEMA siyo na TUNTEMEKE! ndiyo maana alisema arumeru CHADEMA hatutashinda na TUKASHINDA! Watanzania wana imani na CHADEMA hawajui TUMTEMEKE. Na mimi naamini huyu mtu hayupo ndani ya CHADEMA, yuko nje, maana anavyaanfikaga huwa havina ukweli wowote,na havitofautiani na propaganda za magamba ambazo tumezizoea! Ila angalizo lako ni la uzalendo na nimelikubali.