Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
kwa kweli ofisi ya cdm dodoma inatia kichefuchefu anzisheni hata kaharambee.
yaani du.
yaani du.
Miongoni mwa mambo yanayosemwa katika mikutano hiyo ni pamoja na sababu za ugumu wa maisha unaowakabili watanzania leo. Kwa bahati mbaya sana sababu zote zinahusishwa moja kwa moja ama Sera zisizotekelezeka au kutowajibika ipasavyo kwa Serikali na ndo ukweli wenyewe. Na kubwa zaidi ni kulea ufisadi. Ni nani anayeweza kufurahia hayo??? Je, huo ndo uchochezi??Mama sisi tunaomba tu AMANI itawale na kusiwe na maneno ya uchochezi na ya kuleta chuki na mifarakano miongoni mwa jamii kiasi cha kuleta vita katika jamii.
CHADEMA KUMBUKENI MDOMO ULIKIPONZA KICHWA
Naona watu wa maofisini wameacha shughuli zao wanafuatilia maandamano.Msafara unaenda kwa taratibu sana kwakuwa barabara imeshona sana.Mjii umepambwa kwa vidole viwili na bendera nzuri za CHADEMA.
viva cdm..harufu ya ukomboz inanukia...naunga mkono hoja ya kuchangia chama ili kuimarisha majengo ya chama na kuanzisha vyombo vya habari ie radio& tv...nw njia ni nyingi za kuchangia like mpesa, sms, bank ac...please anzisheni hii maneno wadau tuchangie hata mia mia tu..peoples power.eace:
Naona watu wa maofisini wameacha shughuli zao wanafuatilia maandamano.Msafara unaenda kwa taratibu sana kwakuwa barabara imeshona sana.Mjii umepambwa kwa vidole viwili na bendera nzuri za CHADEMA.