CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Kwa matamshi yake kuwa wanaopinga Posho ni madomokaya na hiyo ikiwa ndiyo sera ya CDM, Sasa CDM wanaweza kumfukuza shibuda. Yupo nje ya bunge anapinga sera za chama chake, wanaweza kumwajibisha kama chama kwa utovu wa nidhamu kama kanuni za chama zina kipengele hicho. Hapa kinga ya bunge ilivyoainishwa kwenye katiba kifungu cha 100 hakimlindi hata kidogo. Yupo nje ya bunge na anakashifu sera za chama chake. kama kuna provision ya hivyo katika katiba/ kanuni za nidhamu za cdm. This is an opportunity to flush him out of cdm