Nitakuwa wa mwisho kuamini mkono wa Serikali katika suala hili la TL na kama vyombo vya Serikali vilihusika why risasi 30 na isiwe moja! Hii ni inside job ndo maana CDM wanamfichaImeshakua sasa dereva anasumbuliwa!
Nitakuwa wa mwisho kuamini mkono wa Serikali katika suala hili la TL na kama vyombo vya Serikali vilihusika why risasi 30 na isiwe moja! Hii ni inside job ndo maana CDM wanamfichaImeshakua sasa dereva anasumbuliwa!
Hahaha.genge la wauwaji ccm litafute mbinu nyingineLisu kachanganyikiwa. Alidhani kuongea Kiingereza basi vyombo vyote vya habari duniani vitamzungumzia. Anadhani yeye ni mtu mkubwa sana anayepapatikiwa na vyombo vyote vya habari kumbe ni kajitu ka kawaida tu. Sasa inabidi genge la Chadema litafute mbinu nyingine.
Na serikali ikiwa na vyombo vyote vya uchunguzi imeshindwa kuikatamata hiyo inside job ya chadema???Nitakuwa wa mwisho kuamini mkono wa Serikali katika suala hili la TL na kama vyombo vya Serikali vilihusika why risasi 30 na isiwe moja! Hii ni inside job ndo maana CDM wanamficha
Limekua gumu kidogoKwani lile zoezi la KUTUBU tayari?
Hamtaki kucooperate kwa kujificha huko nje! Rudi TZ mchakato uendelee ili mbivu na mbichi zijulikane!Na serikali ikiwa na vyombo vyote vya uchunguzi imeshindwa kuikatamata hiyo inside job ya chadema???
Hahaha...kabisaaa...hapa umejipiiinda kuandikaHamtaki kucooperate kwa kujificha huko nje! Rudi TZ mchakato uendelee ili mbivu na mbichi zijulikane!
Nenda kwa Trump basi.Hizi attitudes za kiduwanzi kama zako ndio zinaoneshwa na politicians wa third world countries kama hivi!
Ingekua serikali ndio inamkingia mtu kifua mvua za mawe zingenyesha!Nitakuwa wa mwisho kuamini mkono wa Serikali katika suala hili la TL na kama vyombo vya Serikali vilihusika why risasi 30 na isiwe moja! Hii ni inside job ndo maana CDM wanamficha
Kumbe Lisu ameuawa?Hahaha.genge la wauwaji ccm litafute mbinu nyingine
LISSU hajafa plani zenyu zimebuma na hamkuwa na plan bLisu kachanganyikiwa. Alidhani kuongea Kiingereza basi vyombo vyote vya habari duniani vitamzungumzia. Anadhani yeye ni mtu mkubwa sana anayepapatikiwa na vyombo vyote vya habari kumbe ni kajitu ka kawaida tu. Sasa inabidi genge la Chadema litafute mbinu nyingine.
Umeibukia wapi wewe?LISSU hajafa plani zenyu zimebuma na hamkuwa na plan b
Sara subirini kibano demokrasi Moana inwashinda
Mnategemea
Marisasi yooote mliyommiminia mungu kasema LISSU HAFIIIII NG'OOOOOOO
Shwainn
imetawala miaka 50 kusingebaki mtu tafuteni jengine!Hahaha.genge la wauwaji ccm litafute mbinu nyingine
Nenda kwa Trump basi.
Ujinga ni sifa kuu kuamini kila kinachosemwa!
Duh kumbe ni mbeba box. Yaani hapo ndio unajiona umefikaa, ha ha ha.Kwa maana currently niko kwa nani?
Naona umekua mpiga ramli?
Kwanza nikutakie heri ya mwaka mpya mdogo wangu tindo,hivi bado unaliamini hili genge la wapenda pesa hapa hakuna propaganda ila kuna kukumbushana tu!Umechanganya mambo mengi kwenye post namba moja. Kwa ujumla ww na wenzako mnajaribu kuleta utetezi dhaifu kwa jambo lililo wazi. Jikalie kimya tu, kwa hili lina ukweli mwingi kiasi propanda hazifui dafu.
Duh kumbe ni mbeba box. Yaani hapo ndio unajiona umefikaa, ha ha ha.