Chadema mnalalamika nini? Mbeya maji, Moshi beer.

Na ya CCM ni mkulu kuwa na watoto kila kona ya nchi eeh?

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo katika Jumuiya ya Ulaya Andris Piebalgs(wapili kushoto), balozi wa jumuiya ya ulaya nchini Cerian Philberto Sebregondi(kushoto),Balozi wa Ujerumani nchini Klaus Peter Brandes na Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe wakikata utepe kuzindua rasmi mradi wa maji safi na mazingira Mjini Mbeya leo mchana.
 
zomba sijaona kitu cha maana mpaka unaleta ushabiki usio na tija na mimi nilidhani JK kaanza kutekeleza zile ahadi za mwaka 2010 kumbe yeye kama kawaida kaenda kuzindua tu na huyo Pinda na yeye kaenda kuzindua tu viongozi wa CCM ni cheap sana
 
Last edited by a moderator:
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo katika Jumuiya ya Ulaya Andris Piebalgs(wapili kushoto), balozi wa jumuiya ya ulaya nchini Cerian Philberto Sebregondi(kushoto),Balozi wa Ujerumani nchini Klaus Peter Brandes na Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe wakikata utepe kuzindua rasmi mradi wa maji safi na mazingira Mjini Mbeya leo mchana.

Hehehehe akimaliza hapo anaenda kule naniliiiiiii kuzindua na kina mama !
 
zomba sijaona kitu cha maana mpaka unaleta ushabiki usio na tija na mimi nilidhani JK kaanza kutekeleza zile ahadi za mwaka 2010 kumbe yeye kama kawaida kaenda kuzindua tu na huyo Pinda na yeye kaenda kuzindua tu viongozi wa CCM ni cheap sana

Hiyo ni ahadi ya Mbowe. Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
mtoa mada ana matege ya ubongo,aliyekuambia moshi kuna shida ya maji nani?huko tumemaliza enzi ya mwalimu,lami mpaka migombani,umeme mpaka mikahawani kamuulize cptn komba.ttz kwenu mnaohangaika na kansa ccm

Kaka nakuunga mkono, kwenye maji na Umeme, lami na vingine vingi, Moshi ni juu.....ndio maana hata sisi huku Katavi tunajitahidi kuikana ccm, tuna mbunge wa chadema kwa kipindi cha pili sasa hapa Mpanda mjini, lami karibu ifike mitaa yote ya mji, bado kidogo sana, maji bado ni tatizo sehemu ndogo ya mji....umeme sasa hivi siyo tatizo sana kwani haukatiki bila mpanga kama ilivyokuwa enzi za utawala wa ccm, japo tunatumia jenerator, but its somehow fine...kweli CHADEMA CHAMA KIKUBWA SANA, haka ni kajimbo tu....tukiwapa nchi hawa jamaa, tutaoga maendeleo nchi nzima.....tuwaunge mkono kwa dhati.....!!!!

CHADEMA FOR PRESIDENT, AND ALL OTHER POLITICAL POSITIONS 2015.
 
Back
Top Bottom