zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,261
- 3,909
[h=2]Sunday, July 22, 2012[/h] [h=3]Rais Kikwete azindua mradi wa maji Mbeya[/h]
Source:FULL SHANGWE: Rais Kikwete azindua mradi wa maji Mbeya
[h=3]Pinda azindua Kiwanda cha Serengeti mjini Moshi[/h]
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, jana amezindua kiwanda cha Bia cha Serengeti tawi la Moshi mkaoni Kilimanjaro. Kinwanda hicho cha kisasa na kikubwa kipo eneo la Pasua Boma Mbuzi katika barabara ya Sukari.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mmoja wa Wanahisa wa SBL, Christopher Gachuma mara baada ya kuwasili kiwandano hapo.
Pinda akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa SBL, Teddy Mapunda.
Pinda akisalimiana na Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ephraim Mafuru
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kiwanda cha SBL mjini Moshi.
Pinda akifunia kitambaa katika moja ya shughuli za uzinduzi wa mjini mosha. Pamoja nae ni Mwenyekiti wa Badi ya SBL, Jaji Mark Bomani na kati kati yao ni Mkuu wa Moa wa Iringa, Leonidas Gama.
Waziri Mkuu akipata maelezo juu ya uzalishaji wa Kiwanda hicho
Pinda akitembezwa katika maeneo mbalimbali ya Kiwanda.
Sehemu ya ujazaji kinywaji cha Serengeti katika kiwanda hicho.
Akiendelea kupata maelezo ya uzalishaji.
chanzo father kidevu
Source: KIMKEV ENTERTAINMENT: Pinda azindua Kiwanda cha Serengeti mjini Moshi
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo katika Jumuiya ya Ulaya Andris Piebalgs(wapili kushoto), balozi wa jumuiya ya ulaya nchini Cerian Philberto Sebregondi(kushoto),Balozi wa Ujerumani nchini Klaus Peter Brandes na Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe wakikata utepe kuzindua rasmi mradi wa maji safi na mazingira Mjini Mbeya leo mchana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo Jumuiya ya Ulaya Andris Piebalgs(Watau kushoto) na Waziri wa Maji Profesa JumANNE Maghembe wakikagua chanzo cha maji eneo la Swaya mjini Mbeya wakati wa uzinduzi wa mradi maji safi na mazingira mjni humo leo mchana.Source:FULL SHANGWE: Rais Kikwete azindua mradi wa maji Mbeya
[h=3]Pinda azindua Kiwanda cha Serengeti mjini Moshi[/h]
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, jana amezindua kiwanda cha Bia cha Serengeti tawi la Moshi mkaoni Kilimanjaro. Kinwanda hicho cha kisasa na kikubwa kipo eneo la Pasua Boma Mbuzi katika barabara ya Sukari.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mmoja wa Wanahisa wa SBL, Christopher Gachuma mara baada ya kuwasili kiwandano hapo.
Pinda akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa SBL, Teddy Mapunda.
Pinda akisalimiana na Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ephraim Mafuru
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kiwanda cha SBL mjini Moshi.
Pinda akifunia kitambaa katika moja ya shughuli za uzinduzi wa mjini mosha. Pamoja nae ni Mwenyekiti wa Badi ya SBL, Jaji Mark Bomani na kati kati yao ni Mkuu wa Moa wa Iringa, Leonidas Gama.
Waziri Mkuu akipata maelezo juu ya uzalishaji wa Kiwanda hicho
Pinda akitembezwa katika maeneo mbalimbali ya Kiwanda.
Sehemu ya ujazaji kinywaji cha Serengeti katika kiwanda hicho.
Akiendelea kupata maelezo ya uzalishaji.
chanzo father kidevu
Source: KIMKEV ENTERTAINMENT: Pinda azindua Kiwanda cha Serengeti mjini Moshi