cdm waweza kushinda urahisi kama wafuatao watajiunga cdm; Dr Magufuli, Ama Lowassa kwa vile sidhani kama cdm kwa sasa wana kiongozi mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi
Huyo magufuli ambae hata kwake chato hawamtaki????? Lowasa fisadi hana sifa tena. Washauri waanzishe chama chao ili waweze kugombea au wagombea binafsi