mohamed kapufi
Member
- May 2, 2011
- 15
- 0
Chama Cha Democracia na maendeleo huenda kisifike ktk hali nzuri ya kisiasa mwaka 2015,hii inatokana na hali halis ya
mgogoro uli
ofichika k
wa muda kati ya Zitto na Mbowe sasa umeanza kuonekana waz machon mwa watanzania kupitia vyombo vya habar 'tanzania daima' jana limethbitisha hili kupitia comment ya Zitto ktk mitandao ya jamii TANZANIAN GROUP na JF,sasa huwa nashangaa kuona wafuasi wa Chadema kushabikia migogoro Ya CCM wakati Viongoz wao wanasigana waz waz nanyi hamuwashauri,ninakumbusha endeleen kuishabikia migogoroya CCM ambayo ikichukuliwa hatua au hata kutafutiwa ufumbuzi,siku mnarud kwenu mtakuta ngumi zimetawala.'Mtakosa Maji na Mtoto'
mgogoro uli
ofichika k
wa muda kati ya Zitto na Mbowe sasa umeanza kuonekana waz machon mwa watanzania kupitia vyombo vya habar 'tanzania daima' jana limethbitisha hili kupitia comment ya Zitto ktk mitandao ya jamii TANZANIAN GROUP na JF,sasa huwa nashangaa kuona wafuasi wa Chadema kushabikia migogoro Ya CCM wakati Viongoz wao wanasigana waz waz nanyi hamuwashauri,ninakumbusha endeleen kuishabikia migogoroya CCM ambayo ikichukuliwa hatua au hata kutafutiwa ufumbuzi,siku mnarud kwenu mtakuta ngumi zimetawala.'Mtakosa Maji na Mtoto'