- Thread starter
- #41
Mi nimewaonesha tu mojawapo ya kazi zake (achilia mbali ile ya ugoni). Sasa mwenye macho na aone, mwenye masikio na asikie!Huyu jamaa hata igunga alikuwa anachanja mbuga tukasema anacheza tu mwisho wa siku tukabaki kusingizia kuibiwa. Taarifa nilizonazo jana pia alikutana walimu kribu mia na hamsin. Tayari alishakutana na wazee Wa mila, viongozi wa dini na wanachuo. Jamaa ni super strategist