Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,280
- 1,763
Hapa ni arusha ndugu yangu,viboshori vya chadema vimegeuka dili sa hivi,vinauzwa ghali but watu wanavichukua ajabu,pamoja na vitambaa almaarufu kama vitandio vya cdm!bar karibia zote utasikia 'peopleees........!'mabadiliko hayaepukiki!karibu arusha
Huku mtaani kwetu zinauzwa mpaka nguo za ndani za CDM na zinatembea mbaya.