Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Hata nccr mageuzi ilikuwa hivi.
1+1= 11
ziro kweli! Im afraid not this time sweetheart!
Hata nccr mageuzi ilikuwa hivi.
Hata nccr mageuzi ilikuwa hivi.
Hata nccr mageuzi ilikuwa hivi.
mbona hamumtambulishi kwa profession yake? Huyo ni mchungaji na hao ni waumini wake, nini cha ajabu?
Mbona hamumtambulishi kwa profession yake? Huyo ni mchungaji na hao ni waumini wake, nini cha ajabu?
Ulikuwepo au ulisimuliwa?...Hapo unalinganisha mlima na kichuguu mkuu...vinginevyo Mwigullu Nchemba asingekuwa Arumeru kwa sasa na fuko la hela akihonga raia...Mtiti wa CDM ni mzito hata bosi wako NAPE analifahamu hilo na ndiyo maana akakuajiri humu JF and CDM is your employer indirectly as well...ikitokea ikawa kama NCCR(japo ni ndoto za alinacha)hata wewe kazi hakuna...think twice...Ohoooooh!
Safi sana Mkuu! KWA MTINDO HUU NATOA SIRI YANGU, 2015 NITAGOMBEA UDIWANI KATA YA ULANDA-KALENGA.
Viwanja vya kanisa! Kwani huwa hauhudhirii ibada?Hivi mikutano yake inafanyikia viwanja gani mbona siyasikii matangazo hapa mjini wakuu wenye taarifa watujunze ratiba ilivyo hapn kesho ni wapi?
Hata nccr mageuzi ilikuwa hivi.
Kuna ubaya gani Mchungaji akiwa na wafuasi wake? mbona Wachungaji wengi wana wafuasi tu kama Mchungaji Mtikila, Mchungaji Mama Rwakatare, Mchungaji Kakobe, nadhani hakuna cha ajabu.
Kuna ubaya gani Mchungaji akiwa na wafuasi wake? mbona Wachungaji wengi wana wafuasi tu kama Mchungaji Mtikila, Mchungaji Mama Rwakatare, Mchungaji Kakobe, nadhani hakuna cha ajabu.
Viongozi waandamizi wa Kafu wamehama..............Viwanja vya kanisa! Kwani huwa hauhudhirii ibada?