chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Kweli hata mie naipenda kweli
Mbona hamumtambulishi kwa profession yake? Huyo ni mchungaji na hao ni waumini wake, nini cha ajabu?
jamani chadema sijui nikupe nini chama langu..
Hata nccr mageuzi ilikuwa hivi.
hakika CCM inapendwa sana na nakuhakikishia wanaipenda chadema ni wehu na wapenda vita chadema siyo chama cha kitaifa ni chama cha wajerumani na EU ambayo inataka kuwatumia kuua watu wasio na hatia TZ chadema ni chama cha kikabila chama cha wachache ambao hawataki wengine wapae..ccm itaongoza milele chadema kinapendwa na wazazi wako na familia yako
Hata nccr mageuzi ilikuwa hivi.
Tunaoipenda ni wengi tu. unasemaje apo?wewe ndio unaipenda usiwasemee wengine.
Mkuu BUREKICHEKO kama jina lako naona hujatulia, umetoka kuvuta nini????Wewe na maghamba zako kwishinei, mpaka 2015 hakuna rangi mtaacha kuona na mtaji wenu wa CUF unaporomoka pia!!!!!!hakika CCM inapendwa sana na nakuhakikishia wanaipenda chadema ni wehu na wapenda vita chadema siyo chama cha kitaifa ni chama cha wajerumani na EU ambayo inataka kuwatumia kuua watu wasio na hatia TZ chadema ni chama cha kikabila chama cha wachache ambao hawataki wengine wapae..ccm itaongoza milele chadema kinapendwa na wazazi wako na familia yako
mi nilidhani kagawa miamvuli ukizingatia hiki ni kipindi cha mvua huko arusha.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA