Mzee Mwanakijiji,
Mkuu wangu mifano yangu ipo karibu sana na reality ya MIAFRIKA. Tunazo mila na desturi zetu ambazo hutengeneza matendo yetu kwa ujumla, hivyo mifano yangu mara nyingi ipo karibu na Mtanzania yaani mambo ambayo ni rahisi kwetu sote kuyatazama pasipo kutumia taalama..Kisha usije fikiria kabisa mfano huu unahusiana na mambo ya ngono kwani mume hachaguliwi kwa sababu ya ngono ila uwezo wa kusimamia mamlaka ya mume ndani ya nyumba...hii ndio maana ya mfano wangu.
Na pengine yawezekana hapa ndipo tunapotofautiana, wakati mimi nazungumzia uwezo wa Chadema (msera) kuongoza kama baba mwenye nyumba na ndipo wewe umeweka Doubt zako, kumbe mwenzangu unakitazama chama hiki kama Mtalimbo umelala - unataka ushahidi kuonyesha kama Chadema kawahi kuwa na hata Girlfriend! Duh..Hee heee heee -makubwa haya!
Mkuu usinielewe vibaya mifano huo hauna maana wewe ni mwanamke asiyejua akitakacho, hapana najua fika unajua ukitakacho na ndio maana umekuwa mstari wa mbele ktk mapambano haya isipokuwa mfano wangu unalenga kuonyesha kwamba wewe mzito ku make decision based on factors ambazo zinakutaka wewe na sii chama kuziwakilisha. Kwa hiyo ni wewe unayetakiwa kukubali kuolewa na huyu Chadema kwa mategemeo kwamba nyumba yenu mtaijenga nyote na sii kutegemea Chadema (mume) alichowahi kujenga kiwe ndio factor kubwa.
Je, Sii kweli wapo watu wamekaa ktk ndoa pasipo kujali maslahi yao?..Je, sii kweli watu wa aina hiyo hututupeleka kufikiria kwamba hawaoni kuna maisha zaidi ya kuwa chini ya mume huyo, wengine hata husingizia watoto kama sababu lakini ukweli ni kwamba matatizo wanayo wenyewe..
Mkuu wangu CCM ni abusive kwako, na kama utaendelea kuwatazama kina Chadema na CUF kwa kipimo cha uwezo wake basi wewe hutafuti changes ila unataka kumbadilisha huyu mume CCM characters zake kwa kuwakosoa.. Jambo ambalo unafanya makosa kabisa kwani mtu yeyote abusive siku zote ukimkosoa ndio kwanza unazidisha hasira zake.
Walisema hivi kwa kila Mageuzi yoyote.. Hakuna chama cha Upinzani kilichoweza kujijenga pasipo watu wake.Chama Chadema sii chama kama wewe na wengine wote mtasimama nje kama watazamaji ukifikiri dhamana ya usafiri wetu wameichukua Chadema kwa gharama ya Ujamaa..Ni wewe, mimi na wengine wote tutakao kiwezesha chama chochote kile kiweze kuongoza nchi kama ilivyotokea Iran, Poland, Cuba, South Africa, Kenya na kwingineko kote.
Na ndio maana mara zote michango yetu iwe kwa CCM ama Chadema inatakiwa iwe ile ya kuziba nyufa, kufanya ukarabati ama kujenga upya kwani vyama hivi vitakuwepo hata baada yetu. Chadema au TTTP ni vyama, sii Mbowe wala Rev. Kishoka wanaotazamwa..kwani tukifanya hivyo tutashindwa kabisa kuelewa nini maana haswa ya kuwa na Demokrasia.
Mkuu wangu mifano yangu ipo karibu sana na reality ya MIAFRIKA. Tunazo mila na desturi zetu ambazo hutengeneza matendo yetu kwa ujumla, hivyo mifano yangu mara nyingi ipo karibu na Mtanzania yaani mambo ambayo ni rahisi kwetu sote kuyatazama pasipo kutumia taalama..Kisha usije fikiria kabisa mfano huu unahusiana na mambo ya ngono kwani mume hachaguliwi kwa sababu ya ngono ila uwezo wa kusimamia mamlaka ya mume ndani ya nyumba...hii ndio maana ya mfano wangu.
Na pengine yawezekana hapa ndipo tunapotofautiana, wakati mimi nazungumzia uwezo wa Chadema (msera) kuongoza kama baba mwenye nyumba na ndipo wewe umeweka Doubt zako, kumbe mwenzangu unakitazama chama hiki kama Mtalimbo umelala - unataka ushahidi kuonyesha kama Chadema kawahi kuwa na hata Girlfriend! Duh..Hee heee heee -makubwa haya!
Mkuu usinielewe vibaya mifano huo hauna maana wewe ni mwanamke asiyejua akitakacho, hapana najua fika unajua ukitakacho na ndio maana umekuwa mstari wa mbele ktk mapambano haya isipokuwa mfano wangu unalenga kuonyesha kwamba wewe mzito ku make decision based on factors ambazo zinakutaka wewe na sii chama kuziwakilisha. Kwa hiyo ni wewe unayetakiwa kukubali kuolewa na huyu Chadema kwa mategemeo kwamba nyumba yenu mtaijenga nyote na sii kutegemea Chadema (mume) alichowahi kujenga kiwe ndio factor kubwa.
Je, Sii kweli wapo watu wamekaa ktk ndoa pasipo kujali maslahi yao?..Je, sii kweli watu wa aina hiyo hututupeleka kufikiria kwamba hawaoni kuna maisha zaidi ya kuwa chini ya mume huyo, wengine hata husingizia watoto kama sababu lakini ukweli ni kwamba matatizo wanayo wenyewe..
Mkuu wangu CCM ni abusive kwako, na kama utaendelea kuwatazama kina Chadema na CUF kwa kipimo cha uwezo wake basi wewe hutafuti changes ila unataka kumbadilisha huyu mume CCM characters zake kwa kuwakosoa.. Jambo ambalo unafanya makosa kabisa kwani mtu yeyote abusive siku zote ukimkosoa ndio kwanza unazidisha hasira zake.
Walisema hivi kwa kila Mageuzi yoyote.. Hakuna chama cha Upinzani kilichoweza kujijenga pasipo watu wake.Chama Chadema sii chama kama wewe na wengine wote mtasimama nje kama watazamaji ukifikiri dhamana ya usafiri wetu wameichukua Chadema kwa gharama ya Ujamaa..Ni wewe, mimi na wengine wote tutakao kiwezesha chama chochote kile kiweze kuongoza nchi kama ilivyotokea Iran, Poland, Cuba, South Africa, Kenya na kwingineko kote.
Na ndio maana mara zote michango yetu iwe kwa CCM ama Chadema inatakiwa iwe ile ya kuziba nyufa, kufanya ukarabati ama kujenga upya kwani vyama hivi vitakuwepo hata baada yetu. Chadema au TTTP ni vyama, sii Mbowe wala Rev. Kishoka wanaotazamwa..kwani tukifanya hivyo tutashindwa kabisa kuelewa nini maana haswa ya kuwa na Demokrasia.