CHADEMA Iitishe Maandamano dhidi ya Jeshi la Polisi?

Mi sioni haja ya CDM kuwaambia yote hayo polisi maana itakuwa kama ni mkwara.
Dawa ni kufanya vitendo. CDM iwe na subira mpaka hapo itakapoingia madarakani kisha iwashughulikie vibaraka wote wa polisi wanaotumiwa kwa maslahi ya watu wachache.
Waanze na shemeji yake rais (Said Mwema) kisha ma'RPC na wengine wa chini yao.

HATA MIMI SIRIDHISHWI NA UTENDAJI WA BAADHI YA MAKAMANDA, NA KWA KUWA IGP NI OFISA MWENZAO, NAONA NDO SABABU YA YEYE KUTOKUCHUKUA HATUA. HAWATISHI KWA LOLOTE, KWANI KAMA NI MWAJIRI NA MWANGALIZI WA MAFILE YAO NI MMOJA, YAANI RAIS NA OFISI YAKE.

SASA SWALI LANGU NI KWA WALE MAKAMANDA AMBAO WAMEFANYA VIZURI, WANATUMIA WELEDI NA WAKO MAKINI KATIKA KUTEKELEZA KAZI ZAO, TUNAWAWEKA KATIKA KUNDI LIPI?

JANA CHADEMA HAPA MWANZA WALIKUWA NA MKUTANO WA HADHARA, WATU WALIKUWA NI WENGI NA HAWAKUWA NA KIBALI HADI WALIPOAAMBIWA WASUBIRI SENSA IMALIZIKE.

CHADEMA WALIPUUZA AGIZO HILO, NA JESHI MKOAN HAPA LIKAWAPUUZA, MBONA MAMBO YAMEENDA VIZURI? MBONA MKUTANO ULIMALIZIKA SALAMA NA WATU KURUDI MAKWAO KWA AMANI?

kWA NINI MWANZA IWEZEKANE LAKINI MIKOA MINGINE ISHINDIKANE?
 
Chama, waandishi wa habari wanasafiri kutoka Marekani, China na kwingineko kwenda mahali penye matukio.

Tufanye assumption nyingine kuwa Mwangos hakuwa mwandishi na alikuwa mwanaharakati kayika 'mkusanyiko usio halali na hakutii Amri halali kama unavyosema. The assumption is done.

Maswali ni je, Polisi sita waliokuwa na silaha walishindwa kumdhibiti Mwangos?
Na kama walishindwa je utaratibu wa Polisi kuhusu matumizi ya silaha za moto unasemaje.
Na je, wewe unasemaje kuhusu kifaa kilichotumika! ni risasi au kitu kingine.

Mkuu Chama hakuna jazba mbona tunawasiliana vizuri tu. Tatizo ni pale unapofanya elimination na mimi naziondoa, kwa bahati nzuri au mbaya maswali muhimu huyajibu. Ni hayo hapo juu tu.

Sikubalini na matumizi ya silaha iwe ya aina yoyote ile iwe ya moto au ya baridi, kifaa kilichotumika si risasi nina uhakika ni bomu la machozi ambalo limemlipukia Mwangosi (R.I.P) kwa karibu sana impact ni kubwa sana risasi haziwezi kuleta madhara yale, na si bomu la mkono kwa ukaribu ule hata polisi wangekufa

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kijana mbona slaa anakuuma sana? Alikuahidi nini? Yupo na josephine sasa.

Haniumi kitu ila nahoji upeo wa hekima zake, leo kuna mzazi kapoteza kijana wake kwa sababu ya huyo Dr. wako

Chama
Gongo la mboto DSM
 
this is the climax huwezi kuwa unaua watu kama zama za ukoloni!
Ivi hawa polisi hawajui kuwa we are customers to them

kila siku wanaelekezwa hivyo, lakini nadhani ni kosa la kuwa double agent. Kwamba unatumika na umma wa watanzania lakini pia unatumika na sehemu ya umma wa watanzania yaani ccm. Hili ni kosa kubwa sana katika utumishi wa haki
 
Mwanakijiji nakubaliana na wewe kimsingi hasa juu ya mapendekezo ya kuandamana kupinga vitendo vya polisi. Ila pamoja na maandamano kuna haja ya wamiliki wa vyombo vya habari wa umoja wao kutoa shinikizo kwa viongozi wa jeshi hili kupinga mauaji ya mwandishi wa habari. Yaani mgomo wa kuandika na kutangaza habari za jeshi la polisi mpaka hapo viongozi wake watakapowajibishwa. Hili liliwezekana dhidi ya Mapuri wakati akiwa katibu mwenezi wa CCM na waziri wa mambo ya ndani. Linawezekana pia kwa huyu IGP na genge lake la wauaji.
 
Sio CHADEMA tu wanaotakiwa kuwashughulikia Polisi. Nitawashangaa WAANDISHI wa HABARI wakiendelea na NDOA yao na akina Kova, Chagonja na Said Mwema.
 
Mwanakijiji ,
Hili tukio limenigusa sana, na nasikitika sana nitaendelea kuhoji busara za Dr. Slaa; naamini labda mh. Mbowe kama angekuwako upuuzi huu usingetokea, ni jana tu nimesilikiza alivyoogea kihekima kama mwanasiasa aliyekomaa; Dr. Slaa hana busara za kiongozi; wewe utasema sema lakini ukweli utabakia palepale; tatizo sio Chadema tatizo ni Dr. Slaa anayetaka madaraka kwa nguvu zote; ni nani aliyewashikiniza wanachama kufungua tawi tena kwa makeke? Lilikuwa na ulazima gani? Kama Mwangosi angeuliwa ofisini au nyumbani kwake hapo lingekuwa shauri lingine silaumu polisi hata kama Mwangosi angekuwa baba yangu; ningeumia kwa kumpoteza baba na si vinginevyo NYUMBA YA KAMANDA WA VITA HAINA MATANGA WALA MSIBA, huyu mpumbavu Dr. Slaa kama angekuwa na mwanaharakati wa angekuwepo kwenye tukio yeye anachofanya ni kuchochea moto kwa simu akiwa hotelini, utamtetea sana Dr. Slaa labda kwa sababu mnaishi kwa posho ukweli hekima hana. I am sorry if I offended anyone but I am looking deep into cause and effect!

Chama
Gongo la mbotoDSM
Kama hawajakutupia angalau ka-UDC wakupatie ka yule aliyfariki juzi Kepteni Mstaafu Yamungu. Chama, ulivyo na akili na michango mizito humu unamwona Dr Slaa ndie wa kubebeshwa lawama!
 
Kama hawajakutupia angalau ka-UDC wakupatie ka yule aliyfariki juzi Kepteni Mstaafu Yamungu. Chama, ulivyo na akili na michango mizito humu unamwona Dr Slaa ndie wa kubebeshwa lawama!

WildCard
Dr. Slaa ndiye anayepaswa kubeba lawama; makamanda mnashindwa kuelewa ni jinsi gani asivyo na busara; juzi tumetoka kumsikiliza mh.Mbowe alivyokuwa akiongea kwa kubusara kama kiongozi na msisitizo wake pamoja na tofauti zetu za kisiasa tudumishe utanzania wetu; inakwaje Dr. Slaa awe mtu kuhubiri vurugu tu? Yeye ndiye mwenye kupaswa kubeba lawama zote ndiye aliyeshinikiza ufunguzi ule kwa lengo la kuonyeshana ubabe na serikali kibaya zaidi anashinikiza hayo akiwa hotelini ni afadhali na yeye angekuwapo akuvunjwa angalau mkono ndipo angeona machungu ya upumbabvu wake. WildCard hapa ni cause and effect kama usingevuta bangi usingebaka, kama usingelewa usingepata ajali, kama Dr. Slaa asinge kaidi amri halali ya serikali Mwangosi (R.I.P) asingekufa, kama makamanda wa Chadema wangatawanyika kwa amani polisi wasingetumia nguvu!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Tatizo la Chadema pamoja na wafuasi wao wanajiona wao ndio wana mamlaka ya kuwasemea watanzania, Chadema kama chama hawawezi kuitisha maandamo nchi nzima na watanzania wakayakubali, polisi Tanzania hawajaanza leo kuuwa raia.

Wakati wa Mkapa polisi walikuwa wanauuwa raia na nyie Chadema mlikuwa upande wa serikali na kusema hao ni wahuni wanataka kuleta machafuko nchini, Mzee Mwanakijiji, mauwaji ya Mwembechai, mauwaji ya CUF Pemba ulikuwa upande wa Polisi leo ndio umejua polisi wabaya.

Chadema punguzeni unafiki vifo ambavyo vinatokea kwenye mikutano yenu ndio muhimu kuzidi vya watanzania wengine leo mnataka watanzania wote waingie kwenye maandamano ya Chadema.

Wananchi ndio wanaweza kuindoa CCM madarakani lakini sio Chadema.
 
Last edited by a moderator:
WildCard
Dr. Slaa ndiye anayepaswa kubeba lawama; makamanda mnashindwa kuelewa ni jinsi gani asivyo na busara; juzi tumetoka kumsikiliza mh.Mbowe alivyokuwa akiongea kwa kubusara kama kiongozi na msisitizo wake pamoja na tofauti zetu za kisiasa tudumishe utanzania wetu; inakwaje Dr. Slaa awe mtu kuhubiri vurugu tu? Yeye ndiye mwenye kupaswa kubeba lawama zote ndiye aliyeshinikiza ufunguzi ule kwa lengo la kuonyeshana ubabe na serikali kibaya zaidi anashinikiza hayo akiwa hotelini ni afadhali na yeye angekuwapo akuvunjwa angalau mkono ndipo angeona machungu ya upumbabvu wake.

Chama
Gongo la mboto DSM
Hebu jiulize tuswali hutu Chama:
-Kwamba polisi wangeacha hafla ile ndogo ikafanyika, usalama wa raia na mali zao ungeathirika vipi?
-Kwamba polisi wangehangaika na VIONGOZI wa CHADEMA kama Dr Slaa tu isingetosha?
-Kwamba polisi wetu wamefundishwa kukabiliana na matukio kama haya kwa namna ile? Nguvu ile?
-Kwamba aliyeuwawa alikuwa hatari kiasi gani kwa wao Polisi?
Tunahitaji jeshi jingine la polisi nchi hii. Sio kubadili UONGOZI wa jeshi hilo tu.
 
Tatizo la Chadema pamoja na wafuasi wao wanajiona wao ndio wana mamlaka ya kuwasemea watanzania, Chadema kama chama hawawezi kuitisha maandamo nchi nzima na watanzania wakayakubali, polisi Tanzania hawajaanza leo kuuwa raia.

Wakati wa Mkapa polisi walikuwa wanauuwa raia na nyie Chadema mlikuwa upande wa serikali na kusema hao ni wahuni wanataka kuleta machafuko nchini, Mzee Mwanakijiji, mauwaji ya Mwembechai, mauwaji ya CUF Pemba ulikuwa upande wa Polisi leo ndio umejua polisi wabaya.

Chadema punguzeni unafiki vifo ambavyo vinatokea kwenye mikutano yenu ndio muhimu kuzidi vya watanzania wengine leo mnataka watanzania wote waingie kwenye maandamano ya Chadema.

Wananchi ndio wanaweza kuindoa CCM madarakani lakini sio Chadema.
Ritz,
Bila shaka unafahamu maandamano ya CUF kule Pemba yalikuwa na maana gani. Vurugu za Mwembechai pia unajua zilitokana na nini. Fananisha na kilichotokea jana Iringa.
 
Tatizo la Chadema pamoja na wafuasi wao wanajiona wao ndio wana mamlaka ya kuwasemea watanzania, Chadema kama chama hawawezi kuitisha maandamo nchi nzima na watanzania wakayakubali, polisi Tanzania hawajaanza leo kuuwa raia.

Wakati wa Mkapa polisi walikuwa wanauuwa raia na nyie Chadema mlikuwa upande wa serikali na kusema hao ni wahuni wanataka kuleta machafuko nchini, Mzee Mwanakijiji, mauwaji ya Mwembechai, mauwaji ya CUF Pemba ulikuwa upande wa Polisi leo ndio umejua polisi wabaya.

Chadema punguzeni unafiki vifo ambavyo vinatokea kwenye mikutano yenu ndio muhimu kuzidi vya watanzania wengine leo mnataka watanzania wote waingie kwenye maandamano ya Chadema.

Wananchi ndio wanaweza kuindoa CCM madarakani lakini sio Chadema.
Who is WANANCHI and Who is CHADEMA...
 
Wananchi hatuwezi bakia helpless tukikimbia jeshi la polisi kuogopa kuuawa. Ifike mahali wananchi waamue cha kufanya!
 
Mkuu chama,

Hakuna anayefurahia mauaji haya nilimsikia Dr.Slaa anatoa kauli ya ubabe kwa serikali pamoja na jeshi anasema hatuwezi kusitisha mikutano yetu tutafanya kwa nguvu tumechoka, hivi kweli polisi wangekubali kauli kama hiyo ya Dr. Slaa.
 
Last edited by a moderator:
Ritz,
Bila shaka unafahamu maandamano ya CUF kule Pemba yalikuwa na maana gani. Vurugu za Mwembechai pia unajua zilitokana na nini. Fananisha na kilichotokea jana Iringa.

WildCard,

Kwa hiyo wale waandamanaji wa CUF polisi walikuwa sahihi kuwapiga risasi za moto?
 
Last edited by a moderator:
Who is WANANCHI and Who is CHADEMA...

Kama Chadema ina nguvu ya wananchi mwambie Dr.Slaa mmuandae maandamano Tanzania nzima ya kuing'oa serikali ya CCM madarakani kama walivyofanya wananchi wa Tunisia, na Misri.
 
Kama Chadema ina nguvu ya wananchi mwambie Dr.Slaa mmuandae maandamano Tanzania nzima ya kuing'oa serikali ya CCM madarakani kama walivyofanya wananchi wa Tunisia, na Misri.
Its a matter of time dude!
 
Back
Top Bottom