CHADEMA Iitishe Maandamano dhidi ya Jeshi la Polisi?

Led by CHADEMA, it's overdue time to right the wrongs. Just replace your strong words with strong actions for everything you stand for.

Also off point: CHADEMA remember to clean your inhouse. Sort out the Shibuda-Zitto axis.
 
Inaboa sana, polisi wanapoweka maisha ya watanzania rehani kwa visingizio vya kitoto, wakae wakijua kuwa kuna mwisho, baadhi ya viongozi wanajifanya miungu watu ifike sehemu hatua stahiki zichukuliwe, the govt that uses guns to scare and torture people ni muflisi, freedom iz coming tomorrrow
 
Mimi nadhani WATANZANIA ndio haswa wanaopaswa kuitisha maandamano, huu uasi wanafanyiwa WANANCHI WA TANZANIA wala sio CHADEMA. Shame to them POLISI.
 
CHADEMA please add some ruthlessness to your sophisticate politics, please.

I'm bleeding inside, crying 4 you Tanzania. What hast befallen ye?
 
MM, qualifications zinazotumika wakati wa recruitment ya polisi ndio zinazotuletea product hii ya polisi tuliyo nayo. Mpaka pale ambapo tutabadili mfumo wa ku-recruit polisi ndipo tunaweza kutarajia polisi wenye weledi na kazi yao. La sivyo gabbage in gabbage out!
 
Endeleni kuwasha moto na kupandikiza chuki na haya ndiyo mwanzo wa matunda yake.mengi yakutisha tuyatarajie !

Moto umewashwa na serikali ya ccm kwa kufisadi raslimali zetu na kutuachia umaskini watanzania!!hivi
nguvu kama hii inayotumiwa na polisi kwa raia wasio na hatia ingetumika kulinda wanyama wetu je
wangesafirishwa wazima na serikali ipo kimya.Think Twice!!!!
 
Ninachokiona mimi ni kuwa Polisi wanatumiwa na wanasiasa hasa wabunge wa CCM wanaoogopa M4C kuwa itasababisha wao kupoteza majimbo. Ningependa kumjua mbunge wa hapo alipofia huyo Ndugu Mwangosi.
 
unafikir hayo maandamano yatakubaliwa......suala hili sio la CDM wa chama chochote cha siasa au asasi za kiraia! MMJ ushawahi gusia kiyu kinaitwa ukombozi wa fikra ambaalo ndo jambo la mhim kwa sasa....naamin kabsa wananchi ndo wenye jikum la kukomesha haya mauaji mapema sana endapo tu wataamua kuungana pamoja na kupinga kwa sauti, maandamano, na kwa nguvu yoyote uonevu dhidi yao na police....But when, where, who to start?
 
Haitishi ni wsiwasi wenu, Dr. Slaa hajakatazwa kuhoji ila njia haikuwa sahihi kuhoji si lazima uvunje amri ya serikali; nadhani unaelewa nini maana ya serikali iwe ni Vatican, Tanzania utendaji ni uleule, kwani Dr. Slaa kama angehoji kwa press conference hangesikika? Lawana atazibeba sana kamanda mkuu alisema "liwalo na liwe" sasa mlaumu kitu gani? Hilo alilolitaka mwanaharamu huyu Dr. Slaa limeshakuwa lakini ukweli kuna mzazi leo hajalala kwa majonzi , wakati Slaa anavuana chupi na Josephine

Chama
Gongo la mboto DSM

Chama naomba kujua kwani hawa polisi sio waliosifiwa siku chache hapa nyuma na pro cdm kwa kukamata wasio hesabiwa sensa?au leo malaika wamekuwa mashetani'hakika mungu huwa hamfichi mnafiki'unafiki wenu leo unawaumbua na kujifanya wana harakati wa kwenye keyboard tu,
 
Nimemuuliza Mzee Mwanakijiji, leo ndio kaona ubaya wa jeshi la polisi kuuwa raia mpaka kutaka Chadema waitishe maandamano nchi nzima, mbona mauwaji ya Janauri 21 2001 kule Pemba kwenye maandamano ya CUF polisi waliwauwa wananchi 34 wasiokuwa na silaha wewe Mzee Mwanakijiji, pamoja na Chadema wenzako wote mlikuwa upande wa jeshi la polisi...mods wakafuta sijui kwa nini.
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Precise pangolin;
wacha kamba kama ungekuwa unasikia uchungu ungekuwa Mufindi kuziba pengo la kamanda Mwangosi (R.I.P), inasikitisha na kuhuzunisha sana kuona kijana wa watu amepoteza maisha kwa sababu ya upuuzi wa mtu kam Dr. Slaa kulikuwa na ulazima gani wakati serikali ilishakataza, kama haitoshi baada ya tukio hili badala ya kuungana na familia ya marehemu bado alijitia kudai Chadema watafanya mkutano hivi tuseme angekufa mtoto wake au kaka yake Josephine bado angeyasema hayo? Leo kuna wazazi hawatalala, kwa majonzi, leo kuna watoto maisha yao yatabadilika kwa kumkosa baba, yote sababu ya nini kwa sababu ya mshenzi mmoja aliyekosa busara; mtailaumu polisi lakini kama huo ushindani wa kipuuzi usingeshinikizwa na mpumbavu Dr. Slaa Mwangosi (R.I.P) angekuwa hai, yeye amaeshinikiza akiwa hotelini kazi nyake ni kutoa vyambo watoto watu.
Makamanda akili kichwani mwenu hakuna mtu mwenye uwezo wa kushindana na nguvu ya serikali.

Chama
Gongo la mboto DSM

Ukipenda chongo ugeuka kengeza....we chama katika mawazo yako adui yako ni Dr. Slaa kama ambavyo imewahi kukaririwa Mwigulu kuwa adui yake No.1 ni Dr.Slaa.Nikukumbushe tu kuwa anayekupinga siyo adui.take it softly
 
Hebu jiulize tuswali hutu Chama:
-Kwamba polisi wangeacha hafla ile ndogo ikafanyika, usalama wa raia na mali zao ungeathirika vipi?
-Kwamba polisi wangehangaika na VIONGOZI wa CHADEMA kama Dr Slaa tu isingetosha?
-Kwamba polisi wetu wamefundishwa kukabiliana na matukio kama haya kwa namna ile? Nguvu ile?
-Kwamba aliyeuwawa alikuwa hatari kiasi gani kwa wao Polisi?
Tunahitaji jeshi jingine la polisi nchi hii. Sio kubadili UONGOZI wa jeshi hilo tu.

Jifunze nini maana serikali

Chma
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu chama,

Hakuna anayefurahia mauaji haya nilimsikia Dr.Slaa anatoa kauli ya ubabe kwa serikali pamoja na jeshi anasema hatuwezi kusitisha mikutano yetu tutafanya kwa nguvu tumechoka, hivi kweli polisi wangekubali kauli kama hiyo ya Dr. Slaa.

Mkuu Ritz,
Dr. Slaa anajua nini maana ya serikali; taasisi ikiitwa serikali ina taratibu na sheria ambazo ni lazima zifuatwe hakuna cha ajabu mbona serikali ya Vatican ilishaua sana baada kuona watu wanahatarisha usalama wake; makamanda kuna siku wataujua ukweli kuhusu Dr. Slaa.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Ni vizuri wawaambie na wajue kuwa kila wanalofanya linawekwa kwenye record. Tena ningependa CDM waanzishe Tume ya Haki za Raia na za Binadamu ambayo itakuwa na kazi ya kurekodi vitendo vyote (na wanaoviteda) vya kuvunja haki hizo.

Naunga mkono hoja yako,
wakibaki salama mpaka 2015, tutawawajibisha kwa uhalifu huu dhidi ya Binadamu.
 
Mkuu Ritz,
Dr. Slaa anajua nini maana ya serikali; taasisi ikiitwa serikali ina taratibu na sheria ambazo ni lazima zifuatwe hakuna cha ajabu mbona serikali ya Vatican ilishaua sana baada kuona watu wanahatarisha usalama wake; makamanda kuna siku wataujua ukweli kuhusu Dr. Slaa.

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,

Hakuna uhuru usiokuwa na mipaka huwezi kuiapa amri serikali iliyowekwa madarakani na raia kwa sababu wewe ni Dr.Slaa wa Chadema? Vyombo vya dola vina utaratibu wake hata Dr.Slaa angekuwa yeye rais sidhani kama angekubali kupangiwa...Dr.Slaa anaimbia serikali ana muda tena wa kusubiri watafanya mkutano kwa nguvu..
 
Last edited by a moderator:
hayo maandamano ni muhimu saana.......tunasubiri sana............wanaharakati wa haki za binadamu wapo wapi??????????????????!!
 
Back
Top Bottom