Ally Kanah
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,479
- 388
- Thread starter
- #21
Hakuna awezaye kujibu hoja za Lissu, kama yupo ajitokeze na kukanusha huo ushahidi wake tuone kwani hata baadhi ya majaji walikuwa na malalamiko kibao, na huenda siku moja wakapinga yanayofanywa na huyo/hao mabosi wao kwa njia ya maandamano.
Ya LISU azishia Bandiko lake hapa tunajadili mengine au CHA arusha kiko kichwani nn?