Ally Kanah
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,479
- 388
Hili swali watanzania wote tunajiuliza hatupati majibu hivi ninyi hizi pesa mtalipaje? au mtatuuza sisi wenyewe?
View attachment 61959
View attachment 61959
Kwenye hayo mameya yakoHili swali watanzania wote tunajiuliza hatupati majibu hivi ninyi hizi pesa mtalipaje? au mtatuuza sisi wenyewe?
View attachment 61959
Hili swali watanzania wote tunajiuliza hatupati majibu hivi ninyi hizi pesa mtalipaje? au mtatuuza sisi wenyewe?
View attachment 61959
tutalipa kupitia M-pesa,
manake tumechoka na maswali ya NAPE!
Upuuzi Mtupu!
jibuni Hoja za Lissu kwanza!
Hii nchi ilivyo ya ajabu, magazeti ya kijinga na kishenzi kama haya yanatamba mtaani, tena yakiwa na habari za kipuuzi na kijinga. Magazeti mahiri na makini yalikwisha fungiwa zamani sana. Huu ni ujinga, kuliacha hili gazeti na kulifungia mwanahalisi ni uendawazimu.
Hili swali watanzania wote tunajiuliza hatupati majibu hivi ninyi hizi pesa mtalipaje? au mtatuuza sisi wenyewe?
View attachment 61959
unajiuliza wewe mwenyewe na hao vilaza wenzako, usitujumlishe wote, watu tuna akili zetu tunajua wapi tulipotoka, tulipo na tunapokwenda.
Free MWANAHALISI.
Hatuitaji magazeti yanayoripoti events,tunaitaji magazeti ya kiunguzi!
Sauti ushuru inatudhuru tusiweza kulipa japo kidogo.