J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,505
Vikundi vingi vya kusaidiana kwa sasa vimeamua kutumia M-Koba kama njia ya kuhifadhi pesa au kuchangisha.
Ni njia nzuri sana na yenye uwazi kwa wanachama wake.
Swala la msingi hapa ni usalama wa fedha hizi.
Kumekuwa na shida kukiwa na changamoto za miamala vodacom huwa wanasema wao ni mawakala tu ngoja wawasiliane na mkoba wenyewe....
Hii imekaaje?
Ni njia nzuri sana na yenye uwazi kwa wanachama wake.
Swala la msingi hapa ni usalama wa fedha hizi.
Kumekuwa na shida kukiwa na changamoto za miamala vodacom huwa wanasema wao ni mawakala tu ngoja wawasiliane na mkoba wenyewe....
Hii imekaaje?