The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 543
- 1,163
Bonjour,
Naomba kuuliza waungwana, hivi nani au Taifa gani linaprint pesa zetu (TShiling) za noti na sarafu?
Na kama hizi pesa, hatuprint sisi Watanzania, kwanini tusiwe na hiyo photocopy machine tuwe tuna print wenyewe.
Na hiyo mashine ingejengewa hata pale Dodoma.
Naomba kuuliza waungwana, hivi nani au Taifa gani linaprint pesa zetu (TShiling) za noti na sarafu?
Na kama hizi pesa, hatuprint sisi Watanzania, kwanini tusiwe na hiyo photocopy machine tuwe tuna print wenyewe.
Na hiyo mashine ingejengewa hata pale Dodoma.