Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mwita wewe unajira gani unatumika kama tambala la deki tangu umepelekwa kata ya mianzini kwenda kuitetea chadema ukagongwa na chama kimekufa mianzini ndo basi tena ulidhani bongo ni moshi.
Aibu yako au aibu yenu mtaendelea kusamaratishwa,bado arusha j.pili mtagongwa tena mnajiita chaga development manfesto(chadema) mtaipata tu.
Unajua wewe Simiyu ninakuhurumia kwakuwa hata hujitambui, unapelekwa pelekwa tu kama boya.
Asubuhi nimekusoma ukilalamika kwa dada yako mmoja kuwa kwa hizi siku chache ukizokuwa umepigwa ban hapa JF maisha yako yalikuwa magumu sana kwakuwa hukuwa unapata posho yako ya 7,000 ambayoi huwezi kuipata bila kuitumikia.
Sasa kweli unaweza kuthubutu kuninyoshea kidole katika mazingira kama hayo ambayo unafahamu kabisa bila hii ajira ya dharura ya lumumba project utarudia kazi yako ya awali ya kuokota chupa za plastic mjini na kwenda kuuza katika viwanda vya wahindi ilki ujipatie japo hela ya kununua mihogo hapo barabarani.