Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Baada ya Kupita kwa Miaka kama 4 hivi chama Cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA, Kimeonyesha kuwa kipo makini sana katika kutoa motisha kubwa sana kwa Serikali na hata kufanya mambo makubwa sana katika Siasa za Tanzania.
Mwaka 2007 Chini ya Dr.Slaa, Tindu Lissu, Na Vijana weingine wa CHADEMa waliweza kuja na List ya Mafisadi iliyotolewa Kule Mwembe Yanga Dar-Es-Salaam, Katika Orodha hiyo kulikuwa na Watu kama 11 hivi, Kati yao karibu wote wamefikishwa Mahakamani au kuanza kuchunguzwa na vyombo vya Dola, Kutokea Kipindi Hicho Katika Siasa za Tanzania Kulibadilika Sana na Kufanya hata CCM kuanza Kusema na Kuiga Lugha Za Upinzani na Kama vile nao ni Wapinzani.
Kwa Miaka yote toka Uchaguzi uishe CHADEMA wamesimama Kidete Sana kusema Kuhusu Ufisadi na hata Kusababisha Serikali Kuanguka na Kuanda Serikali mpya, Yaani EL na timu yake kuacha Madaraka na Kuteuliwa Mtoto wa Mkulima Pinda, Hiyo yote ni Kazi ya CHADEMA na Watu makini sana katika kutetea maslai ya Taifa Letu la Tanzania.
Chadema Mara zote wanakuwa wanapendekeza mapendekezo kadhaa katika maboresho kadhaa na hata CCM kuweza kuiga hata kuazima sera hizo.
Leo hii Lugha za Wakina Selelii, Ole Sendeka, Dr.Mwakyembe Na Mama Kilango wasingeweza kusema hivyo kama Siyo CHADEMA,
Buzwagi, Leo Katika Taifa la Tanzania kuna mambo mengi yaliyokuwa yanafanya kinyume cha Sheria na hata ukiukaji mkubwa sana wa haki za Binadamu, Tazama Mgodi wa North Mara na jinsi watoto, Wakimama Wanavyoteseka?? Utashangaa sana kusikia kuwa CCM kuwa Hawajui, Watu tuliwapa Dhamana ya uongozi wetu na kufanya watu kuwa wakimbizi.
Bunge la Tanzania Leo Nimebadika kwa kiasi fulani kutokana na wabunge Kadhaa wa Upinzania na Hasa CHADEMA, Wakiongozwa na Rashid Mohamedi wa CUF.
Leo Kila Sehemu kuna hali ya Mwamko hasa baada ya CHADEMA kuanzisha Kampeni Sangara na kufanya hata CCM kuanza kujibu mapigo.
Leo Madudu yote ya Kagoda, EPA, ANBEN, Ufisadi mwingine usingeweza kusikika kama siyo CHADEMA. Kwa sababu hiyo CHADEMA wamejaribiwa kwa madogo na makubwa watayaweza pia!! Kuna kila Dalili za Kuona Chadema ni Chama Cha Upinzania makini Tanzania na Pia CCM wanajibu kujua wanapofanya au kufinya Demokrasia Tanzania ni kujitumbukiza katika Kaburi na kufanya kinyume cha matakwa ya kisiasa Tanzania.
Mwaka 2007 Chini ya Dr.Slaa, Tindu Lissu, Na Vijana weingine wa CHADEMa waliweza kuja na List ya Mafisadi iliyotolewa Kule Mwembe Yanga Dar-Es-Salaam, Katika Orodha hiyo kulikuwa na Watu kama 11 hivi, Kati yao karibu wote wamefikishwa Mahakamani au kuanza kuchunguzwa na vyombo vya Dola, Kutokea Kipindi Hicho Katika Siasa za Tanzania Kulibadilika Sana na Kufanya hata CCM kuanza Kusema na Kuiga Lugha Za Upinzani na Kama vile nao ni Wapinzani.
Kwa Miaka yote toka Uchaguzi uishe CHADEMA wamesimama Kidete Sana kusema Kuhusu Ufisadi na hata Kusababisha Serikali Kuanguka na Kuanda Serikali mpya, Yaani EL na timu yake kuacha Madaraka na Kuteuliwa Mtoto wa Mkulima Pinda, Hiyo yote ni Kazi ya CHADEMA na Watu makini sana katika kutetea maslai ya Taifa Letu la Tanzania.
Chadema Mara zote wanakuwa wanapendekeza mapendekezo kadhaa katika maboresho kadhaa na hata CCM kuweza kuiga hata kuazima sera hizo.
Leo hii Lugha za Wakina Selelii, Ole Sendeka, Dr.Mwakyembe Na Mama Kilango wasingeweza kusema hivyo kama Siyo CHADEMA,
Buzwagi, Leo Katika Taifa la Tanzania kuna mambo mengi yaliyokuwa yanafanya kinyume cha Sheria na hata ukiukaji mkubwa sana wa haki za Binadamu, Tazama Mgodi wa North Mara na jinsi watoto, Wakimama Wanavyoteseka?? Utashangaa sana kusikia kuwa CCM kuwa Hawajui, Watu tuliwapa Dhamana ya uongozi wetu na kufanya watu kuwa wakimbizi.
Bunge la Tanzania Leo Nimebadika kwa kiasi fulani kutokana na wabunge Kadhaa wa Upinzania na Hasa CHADEMA, Wakiongozwa na Rashid Mohamedi wa CUF.
Leo Kila Sehemu kuna hali ya Mwamko hasa baada ya CHADEMA kuanzisha Kampeni Sangara na kufanya hata CCM kuanza kujibu mapigo.
Leo Madudu yote ya Kagoda, EPA, ANBEN, Ufisadi mwingine usingeweza kusikika kama siyo CHADEMA. Kwa sababu hiyo CHADEMA wamejaribiwa kwa madogo na makubwa watayaweza pia!! Kuna kila Dalili za Kuona Chadema ni Chama Cha Upinzania makini Tanzania na Pia CCM wanajibu kujua wanapofanya au kufinya Demokrasia Tanzania ni kujitumbukiza katika Kaburi na kufanya kinyume cha matakwa ya kisiasa Tanzania.