CHADEMA acheni siasa za majitaka, Dk Mary Mwanjelwa hajazomewa

Mtoa thread, Mary Mwanjelwa sio Dk for your info. Najua ni ugonjwa wa magamba wa kupenda tittle ya u-Dk.
Hadi anatoka pale PSI mwisho wa 2010, she was doing just Advocacy issues, na yeye si MD na wala hakuwa na PhD and hakuwa anasoma any PhD course, may be atakua ameenda masomo ya PhD ya VODA FASTA, kama za kina magamba.

kaka nakubaliana na ww ndio maana nilitoka speed mpaka kwenye web ya parliament pale kaandika kuwa aliopoa masters ya bure toka saut 2009. sasa kwenye web kaandikwa dokta toka 2010 halafu eti firstname imeandikwa dr mary... sijui PhD imekuwa miaka mingapi huko maana 2009 mpaka 2010 mtu awe dokta?!!! tafadhalini saana. i am in one of the best public versity hapa lakin sijawahi ona hata prof kajiandika hivyo.... um so worried bora walivyomzomea... aksanten saaana warusha mawe wa Mbeya
 
Mwamakula = Personal Secretary wa Mary Mwanjelwa? Hata kula na yatima kwako wahesabu ni utendaji kazi. Duh!!!
 
Mwamakula! Mwamakula! Mary ni kifaa cha mkuu wa kaya, chukua tahadhali wasije wakakuMwakyembe, au wewe ndiyo Mwanjelwa mwnyewe nini? Umepata wapi ushujaa wa kufuatilia kila nyendo za Mary katika mkoa wa Mbeya?:shock:
 
UNATAKA KUJUA ALIYOYAFANYA DK.MWANJELWA KWA KIPINDI CHA MWAKA 2011 NI HAYA HAPA; HALAFU UFANANISHE NA ALIYOYAFANYA SUGU WAKO;

utekelezaji:
katika shughuli za HUDUMA ZA JAMII:

1. Dec mwaka jana mara tu baada ya kuapishwa, pamoja na wanawake wa jiji la Mbeya kumfanyia tafrija ya kumpongeza pia alikula chakula cha usiku na watoto wanaoishi katika mazingira magumu na kuwazawadia vitu mbalimbali.,

2. Ameshakwenda kutembelea soko la mwanjelwa kujionea na kuhoji ucheleweshaji wa soko la kimataifa la Mwanjelwa

3. Ameshatembelea soko la Sido, Uhindini yote yaliyoungua kuwafariji wahanga na kusikiliza kero zao

4. Ameshatembela zaidi ya mara tatu uwanja wa kimataifa wa ndege wa Songwe kujua kiini cha ucheleweshaji na kuahidi kufatilia jambo hilo kwa ukaribu kwani kukamilika kwa uwanja huo kutarahisisha maendeleo katika nchi na mikoa jirani.

5.Amekuwa ni chachu katika kuchangia ujenzi wa nyumba za wachungaji, vyombo vya muziki katika makanisa mbalimbali
akiwa kama mgeni rasmi

6. Ameshatembelea vituo vya watoto yatima na kugawa chakula, nguo na mablanketi kituo cha K.K.K.T Iwambi na nuru Orphans Centre vyote vya jijini mbeya.

7.Ameshametoa mbuzi 200 kwa kaya 100 kata ya Nkunga wilayani Rungwe
8.Ameshatoa mbuzi 200 kwa kaya 100 kata ya Kambasegele wilayani Rungwe
9. Ameshatembelea gereza kuu la Ruanda Mbeya, ameshatoa zawadi mbalimbali kwao kama sehemu ya jamii kama vile sabuni, mafuta, jezi n.k. vile vile kuwasikiliza

ELIMU

10. Ameshatoa uniform za shule pamoja na viatu (boots) kwa wanafunzi 50 sekondari ya kata ya Nkunga
11. Ameshatoa unform za shule pamoja na viatu (boots kwa wanafunzi 50 sekondari ya kata yaa Kambasegele
12. Amejenga choo cha shule ya msingi Bagamoyo
13. Ameshatoa vitabu vya kujisomea library boksi 2 katika shule ya sekondari ya kata ya Ndola, Ileje
14. Ameshatoa vitabu vya kujisomea library boksi 2 katika shule ya sekondari ya Wazazi Isansa, Mbozi
15. Ameshatoa vitabu boksi 3 vya kujisomea library katika shule ya sekondari ya Wazazi Meta, Mbeya
16. Ameshatoa vitanda 19 katika hosteli ya wasichana sekondari ya wazazi Isansa, Mbozi.

UJASIRIAMALI

17. Ameshapita wilaya zote za mkoa huo tayari kuhamasisha wakina mama waanzishe miradi na vikundi vya ujasirialmali
18. Ameshatoa 'semina elekezi' ya siku tatu kwa wah Madiwani wa Viti Maalum wote wa Mkoa wa Mbeya juu ya Uongozi Stadi

AFYA

19. Ameshatoa magodoro 225 katika hospitali za serikali na vituo vya Afya katika wodi za wazazi kwa wilaya za Mbeya Mjini, Mbozi, Ileje na Mbeya Vijijini
20. Ameshatoa na kukabidhi gari la kuhamasisha wananchi vijijini lenye sinema juu ya umuhimu wa kutumia Tiba kwa Kadi=TIKA mpango wa mfuko wa Bima ya Afya, amekabidhi kwa Jiji la Mbeya kwa kuanzia lakini litakuwa ni kwa mkoa mzima.
Mwamakula rangi nyeusi ni nyeusi tu haiwezi kuwa nyeupe kamwe - Akizomewa sema alizomewa au kaa kimyaa Hapa JF ina wakazi wengi tu wa Mbeya matukio wanayajua huwezi danganya

Kwenye sifa Mbunge kuanzia 1 hadi 9 hakuna kitu hapo ni porojo tu eti alikula chakula na watoto yatima unaona jambo la maana kama ni hitaji muhimu kwa hawa watu Kazi ipo

Hayo mengine yanahitaji verification na siyo ya ajabu sana kufanywa na mtu anaye pewa Tsh 330000/= plus bila kodi kwa siku za vikao nje ya mshahara wa 2,500,000/= kwa mwezi - sijui kama una kodi
 
Unadhani hatukuwepo? Na hoja hapa ni kuzomewa au ni uchapakazi wake.
 
Watu wa mbeya bana! Hamjikubali kabisa mnaporomoesheana mitusi bila sababu ya msingi, halafu ligi zenu ni noma haziishi kama mwakyembe na mwakipesile. Mkishaanza mwanzo mwisho, wakati majina yenu yanaonyesha nyie ndugu.

Mnazo changamoto nyingi sana zinawahita mzitatue kwanza mnakwepa kwa kubishana, mna barabara moja tu jiji zima, sehemu kubwa ya makazi ni skwata za ajabu, ukimwi unamaliza ndugu zenu pamoja kuwa na makanisa lukuki ndio mnaongoza kwa imani za ajabu ajabu bado mnajiongezea hila, nongwa na gubu kuliko wazaramo.

Acheni haya mambo mnakila sababu ya kuwambele manake rasilimali mnazo, mmesoma na wengi wenu mnanafasi kubwa serikalini haya waachieni watu wa ku-mbwani wao hawana rasilimali kama zenu.
 
Mwakapulule, mwakitalu, mwakambimbi, mwakalundwa, mwakasege, mwakadingi, mwakatobe, mwamalundi, mwananyoko n.k wooote walikuwepo na walizomea. Mimi nimewashangaa sana, kwa nini waliishia kumzomea? Mbona wasimdunde mawe kama walivyovurumishaga majiwe kwenye msafara wa Vasco da Gama kipindi ile ya uchaguzi.

Salamu kwako mwakafunyule. Indungu syako

tatizo la wanachama wa chadema ni mbumbu wanayotaka yasemwe ndio yawe wakiambiwa ukweli wanabisha na kutukana.mwanjelwa hakuzomewa na alikuwa akieleza kila jambo kwa ufasaha.chadema wataeleza nini kuhusu katiba kwani wambunge wao waliondoka bungeni.nchi itaendeshwa na watu wenye busara sio watu wa aina ya viongozi wa chadema ambao hadi sasa wanavurugana wao kwa wao.kwani silka ya kutopenda kubezwa imo ndani yao
 
Unadhani hatukuwepo? Na hoja hapa ni kuzomewa au ni uchapakazi wake.

Mbunge CCM Mbeya azomewa


na Angelica Sullusi, Mbeya

SIKU chache baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, kufanya mkutano wa hadhara jijini hapa na kuzoa mamia ya wananchi, mbunge wa viti maalumu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuitisha mkutano na kujaribu kukanusha hoja za katibu huyo.

Mbunge huyo, Dk. Mary Mwanjelwa, alikumbwa na kadhia hiyo baada ya kufanya mkutano wake juzi katika maeneo ya Mwanjelwa jirani na soko la Sido ambapo alikuwa akizungumzia Katiba mpya na kukusanya maoni ya wananchi kabla ya kwenda bungeni.
Mbunge huyo alianza kwa kuwashangaa watu wanaopinga hatua ya Bunge kupitisha muswada wa mabadiliko ya katiba na kisha kusainiwa na Rais Jakaya Kikwete.
Baada ya kumaliza kuzungumzia Katiba mpya, alikaribisha wananchi watoe maoni ili ayachukue na kuyapeleka bungeni, kijana mmoja ambaye hakujitambulisha jina aliinuka kuzungumza lakini hakutoa maoni, bali aliuliza maswali mawili ambayo mbunge alikataa kuyajibu kwa madai kuwa siku hiyo hakwenda kujibu hoja bali kukusanya maoni.
“Leo hii mimi sikuja hapa kujibu hoja, bali nimekuja kukusanya maoni, ipo siku nitakuja nikiwa nimejipanga kujibu hoja zenu, lakini kwa sasa sitajibu maswali na ninaomba mwenye maoni asimame atoe maoni yake,” alisema Dk. Mwanjelwa.
Kauli hiyo ya mbunge ilisababisha wananchi waanze kunong’ona chini chini kama ishara ya kutokubaliana naye. Ndipo kijana mwingine aliinuka na kumuuliza kama anatetea masilahi ya wananchi au ya chama.
Akijibu swali hilo, Dk. Mwanjelwa alisema kuwa yeye hakuchaguliwa kuwa mbunge wa CCM bali wa wananchi, hivyo alikuwa hapo kwa masilahi ya wananchi wa Mbeya.
Jibu hilo lilionyesha kuwachefua wananchi hao hasa vijana ambao walianza kupiga kelele kwa nguvu huku wakimuuliza kuwa ‘kama wewe unadai umechaguliwa na wananchi na Sugu (Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi) kachaguliwa na nani?
Hali hiyo ilisababisha eneo hilo kukosa usikivu, na mbunge huyo kuzomewa, hali ambayo ilimlazimu mshereheshaji wa mkutano huo kumuomba fundi mitambo apige muziki kidogo, ambapo vijana waliinuka na kuanza kucheza huku wakiinua vidole viwili juu, ishara ambayo inatumiwa na CHADEMA.
Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya, mbunge huyo aliinuka akaingia ndani ya gari lake na kuondoka mahali hapo haraka, huku akiacha vijana wa Green Guard wakipambana na vijana hao.
Inadaiwa katika mapambano hayo kijana mmoja wa Green Guard alijeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali ya rufaa kwa ajili ya matibabu.

Source: Tanzania Daima.
 
Mary Mwanjelwa amechakachua mpaka jina lake, no wonder anajipachika na hiyo PHD fake. Naomba wazee wa Mbeya wathibitishe kama huyu ni mtoto wa Mwanjelwa au kama ni mtoto wa mtoto wa kume wa mzee Mwanjelwa mwenye asili ya jina hilo linalo endana na kitongoji cha Mwanjelwa. Kwa uelewa wangu mimi huyu ni Mary Kyando (jina la Kikinga) ambaye na mama yake ndiye alikuwa mtoto wa Mwanjelwa. Kwa hiyo kwa kwa kujiita Mwanjelwa anamsaliti baba yake Mzee Kyando na anatumia jina la wajomba ambalo ni kinyume na mila na desturi za makabila ya wakinga na wanyakyusa.
 
Unatupa taarifa kwa kilichojiri au unataka kujua chadema inasemaje kama taasisi.maana inawezekana kazomewa na wananchi hiyo si chadema.
Mwisho nampongeza kama mwanamama asonge mbele.

watu wakitumwa huwa wanajifanya kuja kupima upepo humu jamvini, josephine akina mwamakula sijui tunao wengi si wengine walikuwa akina mwakipesile siku hizi siwasikii
 
Huyo Mama alipewa Phd ya heshima na chuo kimoja kisichosajiliwa kinaitwa Latin University of theology, chuo hiki kimekuwa kikiuza PHD ya heshima kwa yoyote anayehitaji, ukitaka unawaandikia, unalipa ada, uunmlipia mkuu wa chuo nauli ya kuja kukupa PHD, yeye alipewa katika kanisa la Mama Lwakatare!
 
The generosity and frequency with which an American Christian university is dishing out honorary doctorate degrees and professorships to prominent Kenyans is raising eyebrows.

At least 25 Kenyans were issued with the degrees by the United Graduate College and Seminary within the last two years.

These academic distinctions, like the ones President Kibaki and Prime Minister Raila Odinga were bestowed upon by University of Nairobi for Kenya's peace deal in 2008, are given for the sake of honour for achievements determined by university management, and exempt the recipients from residence, study, esearch and examinations. Officials from the university, led by the Chief Chancellor Prof Clyde Rivers, who are in Nairobi, had a busy day yesterday issuing an honorary doctorate degree to the Chief Executive of a local Non-Governmental Organisation, Computers for Kenya, Mr Tom Musili.

Musili received an honorary Doctor of Philosophy (PhD) in Humanities at his office on Mombasa Road.

Interestingly, Prof Clyde Rivers is also listed as the International Commissioner of the Latin University of Theology based in Inglewood, California, and was also appointed Burundi's Honarary Counsel for the US state of California by the Burundi president.

On March 20, Prof Rivers issued "honorary professorships and doctorate degrees" to 17 personalities at a function at Charter Hall in Nairobi. Among the beneficiaries then were Vice President Kalonzo Musyoka, industrialist Manu Chandaria and two former Nairobi Mayors, Mr Joe Aketch and Mr Nathan Kahara.

The Chief guest at the function was the Speaker of the National Assembly, Kenneth Marende, who interestingly was given an honorary PhD by the university last Sunday at a church he attends, while in Nairobi.

The Speaker, who has ably steered a divided and potentially explosive House, was selected for a doctorate degree in Humanities by the same university. This means Kalonzo and Marende are free to have the venerable title 'Dr' before their names, just like Kibaki and Raila.

Kalonzo also has another honorary degree to his name awarded by Kenyatta University alongside the one given to Tanzanian President Jakaya Kikwete. Both sprung from their role in reuniting and restoring peace in Kenya after the post-election violence — and like the rest, for their individual achievements and contribution to the welfare of humanity.

Computer campus

Former Maendeleo ya Wanawake Organisation chairperson Zipporah Kittony was honoured with a doctorate in Humanities by the university last week, alongside Ahadi Trust CEO Stanley Kamau who is leading an anti-jiggers NGO.

Also honoured by the university were former Nairobi Mayor Nathan Kihara, Apostle James Maina Ng'ang'a, Evangelist Dr Mama Mwai, Rev Elizabeth Wahome and Mr Isaac Kalua. On its website, the United Graduate College and Seminary says that it is an institution that usually offers its courses online, through distance learning.

"Our campus is their computer in their homes or at their places of work," reads a statement on the website of the university.

Yesterday, Prof Rivers said his institution was an "extension based university, with extension campuses in 50 different countries.

He said the university is based in Tennessee in the US and has American trained professors.

Prof Rivers revealed that they had honoured 25 Kenyans with doctorate degrees. Asked why the number of beneficiaries was so high, he said: "There are so many great Kenyans who have waited to be recognised for so long." He said he was in Africa to create a "culture where achievers are honoured". He added: "When we recognise achievers many others would want to work as hard."

The university's activities have not been limited to Kenya though.

Enquiries by The Standard revealed the university has been scouring around Africa, and also feted Ugandan President Yoweri Museveni and his wife Janet, as well as Burundi President Pierre Nkurunziza with similar degrees. Other African leaders on their list of honours include Ivory Coast President Luarent Gbagbo and his wife, former Nigerian President Olesugon Obasanjo and former Mozambican President Joachim Chisano.

Mozambican First Lady Maria da Luz Guebuza is another African personality who has been given an honorary degree in Humanities from the United Graduate College and Seminary (UGCS).

On one Internet website, Prof Rivers is praised as having "had the privilege of conferring four African presidents, two First Ladies, and one Vice President with honorary degrees for their Christian values and exemplary work."

Remarkable leaders

Told that Kenya's public universities do not usually award honorary degrees with as much frequency, he argued: "I don't agree. Kenya has remarkable leaders who would be top of the world in honours".

He said the high number of degrees they have issued for people who have not studied for them should not raise eyebrows.

"In the US there are thousands and thousands of people who are given honorary degrees for achievement," he said.

But despite the fact that the issuing of honorary degrees is a practice in universities employed to recognise an achiever, there are times when they are issued for extraneous reasons. Education experts explain some universities award the honorary degrees, often to derive benefits by association with the person in question.

Detailed rules

Insiders within the Kenyan higher education fraternity express fear some local and foreign universities were eager to enrol powerful politicians and key business personalities into their list of alumni, either for political or financial gain. Amid the cutthroat competition, some universities have also resorted to the haphazard award of the honorary degrees to be at par with their rivals.

The choice of whom to award the doctorate degrees has been left to the individual universities and senates, hence making the process prone to abuse and corruption.

According to the Permanent Secretary Ministry of Higher Education, Prof Crispus Kiamba, honorary degrees are the responsibility of the university in question.

Kiamba explained each university was supposed to have sound and detailed rules, and regulations governing the issuance of doctorate degrees. He said it was not proper for the Ministry to design rules for various universities, whether public or private.

With regard to private universities, Kiamba said they were mandated to work closely with the Commission for Higher Education (CHE), while public universities are closely guided by their respective Acts of Parliament.

According to CHE secretary and its chief executive Prof Everret Standa, each university senate is charged with the award of the beneficiaries after rigorous consultation.

"These are not academic degrees, and it really does not matter who is given so long as the person has demonstrated outstanding accomplishment in the society," said Standa.

Standa said what other institutions may see as distinguished service to the society may not seem to be outstanding to others, bringing the criteria into sharp focus.

"For instance, Paul Tergat was awarded an honorary degree by Egerton University, yet Moi University which is closer to him did not come up with the idea," said Standa.

University of Nairobi issues the awards through consensus by a committee.

"The committee recommends up to a maximum of two candidates for the award of the honorary degrees at any one graduation ceremony," revealed Prof George Magoha who is the Vice Chancellor.

Magoha said the honorary degrees committee at the university normally recommends nominees who fall within distinguished scholars recognised nationally and internationally, and who are outstanding in their own area of specialisation.

Those who have worked for or made a recognised contribution to the university are also honoured. Magoha said those who go beyond their scholarly contribution and have assisted the university for instance through funding a research project or sponsoring a professorial chair are recognised.

"Those whose contributions to the university in particular, the country or the world in general would amount to honouring the university," he said.

According to the Kenyatta University statutes, the University may confer an honorary degree upon a person who has rendered distinguished service in the advancement of any branch of learning, or who has otherwise rendered himself worthy of such an award.

According to Standa, the Commission for Higher Education has no set standard on who is to award the degree, and the clause in the charter given to every private university allows each to develops its own benchmark
 
Kumezuka madai kwamba Mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa Mbeya, Dk.Mary Mwanjelwa amezomewa na wananchi wakati wa ziara yake aliyoifanya Jijini Mbeya leo na kuzungumza na wananchi wa Mwanjelwa na Sido juu ya mchakato wa katiba. Mimi siyo kwamba nina maslahi yeyote kwa Dk. Mwanjelwa lakini jamani tuache uongo Chadema wamezusha uongo huo tu kutokana na siasa zao ambazo nazichukulia kama ni siasa za majitaka.

Chadema tuache wivu, mbunge huyu siyo kwamba namfagilia lakini ukweli ni kwamba ni mchapakazi mzuri na mkutano wake ulikuwa wa amani na mimi nilikuwepo na wananchi walimshukru sana kwa ahadi aliyotoa ya kwenda kuonana na Mkurugenzi wa Jiji ili tatizo la ubovu wa barabara liweze kupatiwa ufumbuzi. Katika mkutano wake wananchi walimuuliza maswali na yeye aliyajibu kwa umakini mkubwa.

Mwanadada huyu kiukweli anakubalika sana Mbeya, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni tungekuwa na wabunge watano wanawake kama huyu dada kichwa tungefika mbali anafanyakazi zake kwa vitendo na kwa umakini, anatekeleza ahadi zake kwa vitendo bila bulabula. Sijui ni watu gani wataongea uzushi kuhusu huyu dada huyu.
hivi wewe mwamakula ni wa wapi??kama vile kaakili kako kapo likizo vile.Kibaraka mkubwa wewe,ndio wale wale wa kofia na t-shit.
 
Mwakapulule, mwakitalu, mwakambimbi, mwakalundwa, mwakasege, mwakadingi, mwakatobe, mwamalundi, mwananyoko n.k wooote walikuwepo na walizomea. Mimi nimewashangaa sana, kwa nini waliishia kumzomea? Mbona wasimdunde mawe kama walivyovurumishaga majiwe kwenye msafara wa Vasco da Gama kipindi ile ya uchaguzi.

Salamu kwako mwakafunyule. Indungu syako

Jamani msinisahau 'Mwakamimi' japo sijawahi kuny* kyusa
 
hivi wewe mwamakula ni wa wapi??kama vile kaakili kako kapo likizo vile.Kibaraka mkubwa wewe,ndio wale wale wa kofia na t-shit.

Shida kubwa ukiwa ccm akili zinapinda pinda na kufikili kifaufau ukweli unabadilishwa kuwa uongo! Lol , ulilisikiliza li-Ndugai kipndi cha ITV dakika 45. Kazi kutuchefua tu.
 
huyu mama aliongea vizuri sana tena anajenga hoja za kimaendeleo bila kujali itikadi za vyama.tatizo la chadema ni chuki binafsi ndo mana unawaona washabiki wengi lakini kwenye uchaguzi wanapigwa.

je na wizi/udokozi wa taulo ameutolea ufafanuzi.
 
HUYO MAMA KAMA ALIWEZA KUIBA MATAULO, atawezaje kuwa mbunge bora ? kama mali za hotel zimemyima uvumilivu je raslimali za umma atazilinda kweli, nashangaa akili za mtoa mada hii kama zinamuunganiko na vidole vya mkono.....!
 
Mbona hamumpi mwenyewe Nafasi ya kujitetea?angekuwa Member angetuambia,Lakini niliwahikuongea nae pamoja na wamiliki wa Hotel mliyompakazia hakukuwa na kitu kama Hicho.Jamani Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni,kama anatoa Magodoro Hospitali na misaada mingine Hamuoni!?acheni hizo,Vp kesho akihamia CHADEMA mtasema haya?
Nimjuavyo mimi ni Mchamungu(mlokole)a
 
Back
Top Bottom