Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Upumbavu utakuua si muda mrefu. Kwa ujinga wako unaziona dini mbili tu katika nchi yetu.Ni kweli nauunga mkono 100% kuna udini ktika uteuzi wa wajumbe haiwezekani Tanganyika kukawa na wajumbe 4 tu waislam kati ya wajumbe 15, siungi mkono kabisa katika hili, ilitakiwa kuwena 7 kwa 7 na mmoja awe mpagani ili haki itendeke.