CHADEMA acheni kupoteza muda, Tamko lishatolewa na Mtei

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
dscf0060.jpg

pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei

I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.

sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.

Msimamo wa Ed Mtei ni kuwa wajumbe wakatiba ni waislam wengi kuliko wakristo na sababu zake Pasco alishazichambua na kila mtu kaziona kuwa ni muflis (najua watakuja kumparamaia Pasco kuwa ni Mgamba etc) lakini naomba tusipotezeane muda.

Unless juna jopo la waliobobea kwenye hii issue ya constitution ( includingwaziri kivuli wa katiba na sheria) waje na hoja zilizosheheni kwa nini wanamuunga mkono Mtei.
 
ccm imetumia karata ya udini wa cuf kwenye tume, hujaona hilo?Katiba ni ya muungano ama ya "waislam wa Zanzibar"?
 
Yeah waacha wawe wengi kama watatoa Mapendekezo Mazuri, Miafaka Mizuri sidhani hiyo ni Tatizo

Mnakumbuka Kenya? Walikuwa na Wahindi Majaji wawili ambao ndio viongozi wa Muafaka wa Katiba ndio wao waliokuwa

na Mawaidha ya Mwisho Angalia Katiba ya Kenya Ilivyotoka hakuna aliyeipinga kila mtu anaikumbatia

Wahindi Kenya ni alilima 2 ya Ididi ya Wananchi wa Kenya lakini wametoa Katiba bora kwa Wananchi wa Aina yote wa

Kenya

Tusihangaike na nani na nani katajwa, kitu tunataka ni nini kilichoko akilini mwano kitaisaidia Taifa la Tanganyika na

Zanzibar

Na Sio Maumbile yao Unene wao, Mapaja yao, Vidole Vyao... lakini ukiwafinya hao woote watatokwa na damu nyekundu?
 
Aisee wakuu cuf tumeona jinsi kilipenyeza udini ktk uteuzi wa tume ya katiba chama hiki hakitufai bara.
 
Ni kweli nauunga mkono 100% kuna udini ktika uteuzi wa wajumbe haiwezekani Tanganyika kukawa na wajumbe 4 tu waislam kati ya wajumbe 15, siungi mkono kabisa katika hili, ilitakiwa kuwena 7 kwa 7 na mmoja awe mpagani ili haki itendeke.
 
Mwenyekiti wa tume ni mkristo na ametoka Bara na makamu mwenyekiti wake aliyetoka Zanzibar naye ni mkristo je hapo mnasemaje Chadema je waislamu nao wasemeje??? Sasa naamini kweli Chadema nyuma yake kuna nguvu ya kanisa kwasababu hamuwezi kuja hoja muflis kama hii it is a shame!!!!
 
ccm imetumia karata ya udini wa cuf kwenye tume, hujaona hilo?Katiba ni ya muungano ama ya "waislam wa Zanzibar"?

Mkuu,
Nazani si busara kupotosha umma!! Kama ungelalamika ni kwanini Tz Bara na Zanzibar itoe idadi sawa ya wajumbe, huenda ningekuelewa hasa baada ya kutoa hoja za msingi!! Lakini, as far as Tz Bara na Zanzibar wanatoa idadi sawa ya wajumbe then there's no way kwamba idadi ya wakristo na waislamu itakuwa sawa unless uamue kwamba kwavile watakaotoka znz wote ni waislamu basi Bara wateuliwe wakristo watupu!! Hayo yatakuwa ni maamuzi ya kipumbavu ambayo ni kiongozi mpumbavu tu ndie anayeweza kuyafanya!

Waliochaguliwa Zanzibar sio waislamu wa Zanzibar bali ni Wazanzibari.....imetokea tu kwamba wote ni waislamu; kitu ambacho mimi na wewe hatuwezi kukibadilisha!! Mkisikia udini usio na maana ndio huu...!!
 
dscf0060.jpg

pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei

I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.

sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.

Msimamo wa Ed Mtei ni kuwa wajumbe wakatiba ni waislam wengi kuliko wakristo na sababu zake Pasco alishazichambua na kila mtu kaziona kuwa ni muflis (najua watakuja kumparamaia Pasco kuwa ni Mgamba etc) lakini naomba tusipotezeane muda.

Unless juna jopo la waliobobea kwenye hii issue ya constitution ( includingwaziri kivuli wa katiba na sheria) waje na hoja zilizosheheni kwa nini wanamuunga mkono Mtei.
Wameshaanza kulewa sifa hao ss mtei anasema eti ina waislam wengi alitaka wawekwe watu wa kaskazin nn........ am very much disapointed ckutegemea huyu mzee anaweza kutoa mawazo mufilisi kama hayo......
 
Mwenyekiti wa tume ni mkristo na ametoka Bara na makamu mwenyekiti wake aliyetoka Zanzibar naye ni mkristo je hapo mnasemaje Chadema je waislamu nao wasemeje??? Sasa naamini kweli Chadema nyuma yake kuna nguvu ya kanisa kwasababu hamuwezi kuja hoja muflis kama hii it is a shame!!!!
Exactly mkuu CDM wana agenda ya siri haiwezekan muasisi aseme maneno kama hayo...... tuwe makin na hawa watu wanatupeleka kubaya
 
Mkuu,
Nazani si busara kupotosha umma!! Kama ungelalamika ni kwanini Tz Bara na Zanzibar itoe idadi sawa ya wajumbe, huenda ningekuelewa hasa baada ya kutoa hoja za msingi!! Lakini, as far as Tz Bara na Zanzibar wanatoa idadi sawa ya wajumbe then there's no way kwamba idadi ya wakristo na waislamu itakuwa sawa unless uamue kwamba kwavile watakaotoka znz wote ni waislamu basi Bara wateuliwe wakristo watupu!! Hayo yatakuwa ni maamuzi ya kipumbavu ambayo ni kiongozi mpumbavu tu ndie anayeweza kuyafanya!

Waliochaguliwa Zanzibar sio waislamu wa Zanzibar bali ni Wazanzibari.....imetokea tu kwamba wote ni waislamu; kitu ambacho mimi na wewe hatuwezi kukibadilisha!! Mkisikia udini usio na maana ndio huu...!!

Nadhani ni hatari sana tukiangalia kila kitu kupitia dirisha la dini...wanaweza wakachaguliwa wajumbe wote kutoka bara wakristu na kama kawaida wote kutoka zanzibar waislam lakini product ya mwisho ikawa mbovu...! Cha msingi ni kuzingatia uadilifu wa wajumbe...! Mimi haitaniumiza hata kama wajumbe wote ni waislam as long as kuna uhakika wa kupata katiba nzuri...!
 
Huyu mzee Mtei kumbe ni mdini kiasi hicho eti anasema wajumbe wa Tanzania Bara kuna Wakiristo na wengine hawana dini nimemuliza tutajie hao ambao hawana dini kakimbia thread yake hawa wazee ndio wamelifikisha hapa taifa letu.
 
Mwenyekiti wa tume ni mkristo na ametoka Bara na makamu mwenyekiti wake aliyetoka Zanzibar naye ni mkristo je hapo mnasemaje Chadema je waislamu nao wasemeje??? Sasa naamini kweli Chadema nyuma yake kuna nguvu ya kanisa kwasababu hamuwezi kuja hoja muflis kama hii it is a shame!!!!

Huu hauwezi kuwa Msimamo wa CHADEMA kwa sababu msimamo wa CHADEMA tayari ulishawekwa hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...teuzi-wa-tume-ya-mchakato-wa-katiba-mpya.html

Serayamajimbo
 
Mkuu,
Nazani si busara kupotosha umma!! Kama ungelalamika ni kwanini Tz Bara na Zanzibar itoe idadi sawa ya wajumbe, huenda ningekuelewa hasa baada ya kutoa hoja za msingi!! Lakini, as far as Tz Bara na Zanzibar wanatoa idadi sawa ya wajumbe then there's no way kwamba idadi ya wakristo na waislamu itakuwa sawa unless uamue kwamba kwavile watakaotoka znz wote ni waislamu basi Bara wateuliwe wakristo watupu!! Hayo yatakuwa ni maamuzi ya kipumbavu ambayo ni kiongozi mpumbavu tu ndie anayeweza kuyafanya!

Waliochaguliwa Zanzibar sio waislamu wa Zanzibar bali ni Wazanzibari.....imetokea tu kwamba wote ni waislamu; kitu ambacho mimi na wewe hatuwezi kukibadilisha!! Mkisikia udini usio na maana ndio huu...!!
...commet yako imetulia mkuu na nnaunga mkono hoja...
 
Hamna haja ya kusbishana na pro-CCM ambao siku hizi wakisikia CHADEMA au mtu yeyote akimtaja mungu basi kwao inakuwa kama umewatusi hadi wanakuombea ban kwa mods. KAZI KWELI KWELI!
 
Mwenyekiti wa tume ni mkristo na ametoka Bara na makamu mwenyekiti wake aliyetoka Zanzibar naye ni mkristo je hapo mnasemaje Chadema je waislamu nao wasemeje??? Sasa naamini kweli Chadema nyuma yake kuna nguvu ya kanisa kwasababu hamuwezi kuja hoja muflis kama hii it is a shame!!!!

Pole kwa kulitambua hilo leo!
 
Huu hauwezi kuwa Msimamo wa CHADEMA kwa sababu msimamo wa CHADEMA tayari ulishawekwa hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...teuzi-wa-tume-ya-mchakato-wa-katiba-mpya.html

Serayamajimbo

Mkuu,

Huyu mzee ni muasisi wa hichi chama au kitaalamu anaitwa founder wa Chadema ni sawa na Nyerere kwa CCM ana influence kubwa sana chamani kwake. Kama ana fikra hizi si hasha hata hao wengine wana mtazamo huo huo ni vema Chadema wakaja kukanusha hili kwani tunataka watu makini katika tume na sio dini? Tukitazama dirisha la dini mtaibua grievance za waislamu za siku nyingi ambazo zinaweza kupelekea nchi kubaya ni vema Chadema wakawa makini na hilo.
 
dscf0060.jpg

pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei

I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.

sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.

Msimamo wa Ed Mt

pasko ni nani kati ya mwtanzania milioni 45?Hu ni puuzi na fikra mgando.
 
dscf0060.jpg

pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei

I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.

sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.

Msimamo wa Ed Mtei ni kuwa wajumbe wakatiba ni waislam wengi kuliko wakristo na sababu zake Pasco alishazichambua na kila mtu kaziona kuwa ni muflis (najua watakuja kumparamaia Pasco kuwa ni Mgamba etc) lakini naomba tusipotezeane muda.

Unless juna jopo la waliobobea kwenye hii issue ya constitution ( includingwaziri kivuli wa katiba na sheria) waje na hoja zilizosheheni kwa nini wanamuunga mkono Mtei.

yeyote anaeingalia tume ya katiba kwa mising ya dini za wajumbe wake huyo ni kirusi asiyeitakia mema TANZANIA YETU...tumuogope huyu mzee
 
mtei anatakiwa apumzike siasa amezeeka mno!anaanza kurudi utotoni,cdm wawe makini na maneno yake sometimes
 
Back
Top Bottom