Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
pichani: Freeman Mbowe akiwa na dedi yake...Ed Mtei
I cant see how Freeman Mbowe atakavyoweza kuja na tamko la wajumbe wa katiba zaidi ya hayo aliyoyasema mwanzilishi wa CHADEMA bwana Edwin Mtei ambaye ni baba mkwe wa Freeman Mbowe.
sasa nawashauri Chadema, msipoteze muda wa kuita press conference msiharibu mazingira kuchapisha tamko kwenye makaratasi.
Msimamo wa Ed Mtei ni kuwa wajumbe wakatiba ni waislam wengi kuliko wakristo na sababu zake Pasco alishazichambua na kila mtu kaziona kuwa ni muflis (najua watakuja kumparamaia Pasco kuwa ni Mgamba etc) lakini naomba tusipotezeane muda.
Unless juna jopo la waliobobea kwenye hii issue ya constitution ( includingwaziri kivuli wa katiba na sheria) waje na hoja zilizosheheni kwa nini wanamuunga mkono Mtei.