Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,942
dini gani?
uislamu
dini gani?
Laiti Uamsho, Ponda, et al. wangekuwa na muono wa kuwaunganisha watanzania wote bila kuegemea too much udini nchi hii ingeshakombolewa kutoka makucha ya magamba.
Inapotokea mtu anaongea issue inayogusa maslahi ya wananchi wote lakini katika kuongea huko hawezi ongea maneno kumi bila kutaja dini yake inakuwa khatari sana.
wenyewe wanakwambia dini yao ni mfumo kamili wa maisha sasa sijui mfumi kamili wa maisha ni chuki dhidi ya wengine na kuuana!?
Acha maswali ya kitoto wewe.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Laiti Uamsho, Ponda, et al. wangekuwa na muono wa kuwaunganisha watanzania wote bila kuegemea too much udini nchi hii ingeshakombolewa kutoka makucha ya magamba.
Inapotokea mtu anaongea issue inayogusa maslahi ya wananchi wote lakini katika kuongea huko hawezi ongea maneno kumi bila kutaja dini yake inakuwa khatari sana.