GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, imeyatambua "majeshi" ya Zanzibar kama Idara Maalum.
Idara Maalum inajumuisha:
(A). Jeshi la Kujenga Taifa - JKU
(B). Kikosi Maalum cha Kumzuia Magendo - KMKM
(C). Chuo cha Mafunzo
Nafikiri, Chuo cha mafunzo ni mbadala wa Jeshi la Magereza.
Vikosi vilivyosalia - KMKM na JKU, vina majukumu gani?
Kuna Vikosi vingine vya Kijeshi Zanzibar zaidi ya hivyo vitatu?
Hivyo Vikosi vinamuduje kutimiza majukumu yake bila kugongana na majeshi ya Muungano?
Idara Maalum inajumuisha:
(A). Jeshi la Kujenga Taifa - JKU
(B). Kikosi Maalum cha Kumzuia Magendo - KMKM
(C). Chuo cha Mafunzo
Nafikiri, Chuo cha mafunzo ni mbadala wa Jeshi la Magereza.
Vikosi vilivyosalia - KMKM na JKU, vina majukumu gani?
Kuna Vikosi vingine vya Kijeshi Zanzibar zaidi ya hivyo vitatu?
Hivyo Vikosi vinamuduje kutimiza majukumu yake bila kugongana na majeshi ya Muungano?