Tusijidanganye. CCM know what they are talking about.
Itakuwa vigumu kwa wabunge wa Chadema kufanya kazi bungeni iwapo chama chao hakiitambui serikali inayotawala.
Cha ajabu ni kwamba walishaapa kuilinda katiba ambayo ndiyo iliyomweka Rais wasiyemtambua madarakani.
Motion inayopelekwa na CCM itapita na wabunge watafukuzwa bungeni. Take my word.
Mnaojiita wasomi, weledi, bla bla ... hamlioni hilo?
Liko wazi hata kwa sisi wa kawaida.
CCM wanajua wazi kuwa 72% ya watanzania wapo nyuma ya Chadema. Kama wanajidanganya wameweza kudhibiti effects za uchakachuaji basi wajaribu kufanya wanayoyafanya maana hapo ndipo hasa CHADEMA wanapataka. Tutarajie mgogoro mkubwa wa kikatiba na kisheria. Siku zote demonstration haiwezi kufanikiwa mpaka pale yule anayefanyiwa demosntration hiyo kuchukua hatua za kikandamizaji badala ya kutatua tatizo.
Ninanchokiona hapa kuhusu huyu Chiligati ni yale tuliyoyazoea kuwa anajaribu kumshawishi bosi wake ili nae awekwe kwenye kundi la waadilifu aliwataja bosi wake kuwa ndiyo watakaounda serikali. Ila amesahau kuwa kwa kufanya hivyo ndiyo anajiharibia kabisa kwani huyu na Tambwe Hiza ndiyo waanzilishi wa propaganda za UDINI ambazo leo hii bosi wake anapigia kelele huku akijua wazi kuwa ni bad boys alio nao kama kina Chiligati ndiyo architectures wake