deusgogomoka
Member
- May 31, 2012
- 13
- 3
Anaorodhesha nini huyo wakati ndio kazi ambayo anatakiwa kufanya. Sasa mwalimu atajisifu kuwa anafundisha darasani? Asipofundisha atafanya nini? Ccm hawana lao tena. Kodi tukatwe sie, wenyewe wajisifu eti wamejenga barabara! Wametoa pesa kwenye biashara za CCM kwani?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums