mkuu unajua CDM walifanya mikutano ya siri na katika maadhimio ya kikao walikubaliana kuwasomba makada wao kwa malori kutoka bukwimba, ngudu, misungwi,magu na sengerema iliionekana ccm ndio imefanya hivyo halafu baada ya sherehe waliwatawanya watu wao mitaani ilikuonyesha ccm imewatelekeza, mimi nipo hapa mkuyuni ndio napata hizi habari
si tunauza sera na kumwaga ukweli tu mambo ya pilau,kanga, kofia ni ya chama kizee kilichokosa mvutoHivi nyie huwa hamna uwezo wa kugawa hayo mapilau na kofia au? Hela huwa mnapeleka wapi wakati hata kodi huwa mnakwepa kulipa?
Ukiwasaidia hao watasahau haraka sana na 2015 watapewa tena vi t-shirt na kofia. Bora kuwaacha hapo wasote mpaka kila mtu afike kwake kwa nguvu zake mwenyewe. Kweli Tanzania bado sana.
Ni kweli kabisa tuko la kairo hapa wanapita mamia kwa mamia kwa miguu na mabegi yao huku wakilaumiana wenyewe kwa wenyewe kuwa kwa nini walikuja! Wanatoka sengerema, bunda na vijiji vya karibu.
chadema kwa wivu ya CCM yanawawashia nini?
Inaonekana Chadema umati wa jana wa CCM hamkutarajia bado mna weweweseka! Acheni propaganda za Kitoto Chadema na Uzushi wenu! Hao watu wapo uwanjani? Upuuuuuuuzi tu mnaendekeza hapa JF
mkuu unajua CDM walifanya mikutano ya siri na katika maadhimio ya kikao walikubaliana kuwasomba makada wao kwa malori kutoka bukwimba, ngudu, misungwi,magu na sengerema iliionekana ccm ndio imefanya hivyo halafu baada ya sherehe waliwatawanya watu wao mitaani ilikuonyesha ccm imewatelekeza, mimi nipo hapa mkuyuni ndio napata hizi habari
Kikwete amewaita malofa!Ni aibu kwa hao akina Baba na mama kuacha familia zao na kazi zao kuja kula nyama na Ubwabwa wa CCM!!! Sasa CCM wameamua kuwaonyesha their true colors!!
Hakika kipigo cha jana kwa cdm ilikuwa over doose!! Poleni sana watani na hii ni hang'over ya jana!!! Endeleeni kujifariji!Jana nimeshuhudia mkazi wa kahama akiwa jijini mwanza akisema kuwa kakodiwa kuja mwanza na ccm.. na kupewd posho... Ala alifunguka na kusema yeye ni mwanachama wa chama pinzani..