Raia Mwema
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 535
- 79
propaganda hizi.
chadema kwa wivu ya CCM yanawawashia nini?
Baadhi yao walikuwa pale kona ya furahisha mida ya saa moja usiku wanashangaa tu cha kusikitisha watu walikuwa wanawazomea tu huku makonda wa daladala wakikataa kuwabeba kwenye magari yao,yaani inatia huruma na wengi walikuwa peku na wachache na ndala miguuni ila juu tisheti na kofia za ccm kama kawa
mkuu unajua CDM walifanya mikutano ya siri na katika maadhimio ya kikao walikubaliana kuwasomba makada wao kwa malori kutoka bukwimba, ngudu, misungwi,magu na sengerema iliionekana ccm ndio imefanya hivyo halafu baada ya sherehe waliwatawanya watu wao mitaani ilikuonyesha ccm imewatelekeza, mimi nipo hapa mkuyuni ndio napata hizi habari
Saaafi sana. Na ule ubwabwa waliokula jana leo wamesha u post...kazi kwao. CCM oyee...!Wakuu;
Nipo mwanza na habari ni kuwa ccm wamewatelekeza watu wengi sana bila ya kuwapatia usafiri wa kurudi makwao.
Hii ni baada ya kuwasomba jana kuwaleta kwenye maadhimisho ya miaka 35 ya chama chao.
Utawahurumia akina mama wengi na baadhi ya wanaume jinsi walivyokosa matumaini kwa sababu mabasi yaliyowaleta hawayaoni na wala viongoz wa ccm hawaonekani, yaani wanahangaika kwelikweli
Ni aibu sana kwao pamoja na kujikomba bungeni kwa naibu spika kuwa uwanja ulitapika.
Mbavu sina. Lakini yote hayo ni kupenda dezo!mkuu unajua CDM walifanya mikutano ya siri na katika maadhimio ya kikao walikubaliana kuwasomba makada wao kwa malori kutoka bukwimba, ngudu, misungwi,magu na sengerema iliionekana ccm ndio imefanya hivyo halafu baada ya sherehe waliwatawanya watu wao mitaani ilikuonyesha ccm imewatelekeza, mimi nipo hapa mkuyuni ndio napata hizi habari
hahahaaa kiukweli siwahurumii hata kidogo mana hawa ndo wanatuangushaga kwenye uchaguzi kwa kupenda kwao mapilau na kofia za bwerere, wakome tena wakome kbsBaadhi yao walikuwa pale kona ya furahisha mida ya saa moja usiku wanashangaa tu cha kusikitisha watu walikuwa wanawazomea tu huku makonda wa daladala wakikataa kuwabeba kwenye magari yao,yaani inatia huruma na wengi walikuwa peku na wachache na ndala miguuni ila juu tisheti na kofia za ccm kama kawa
Mkuyuni wapi wewe! njoo maeneo ya Kirumba,Mwaloni na Ghana uone kumetapakaa mashati na kanga za kijani na watu wamechoka kwa njaa na kiu wanadhurura bila kujua uelekeo. Kwa kweli ukiangalia sura zao zimekata tamaa kwa kutokujua nini wafanye maana waliowaleta wame ingia mitini.mkuu unajua CDM walifanya mikutano ya siri na katika maadhimio ya kikao walikubaliana kuwasomba makada wao kwa malori kutoka bukwimba, ngudu, misungwi,magu na sengerema iliionekana ccm ndio imefanya hivyo halafu baada ya sherehe waliwatawanya watu wao mitaani ilikuonyesha ccm imewatelekeza, mimi nipo hapa mkuyuni ndio napata hizi habari
Wakuu;
Nipo mwanza na habari ni kuwa ccm wamewatelekeza watu wengi sana bila ya kuwapatia usafiri wa kurudi makwao.
Hii ni baada ya kuwasomba jana kuwaleta kwenye maadhimisho ya miaka 35 ya chama chao.
Utawahurumia akina mama wengi na baadhi ya wanaume jinsi walivyokosa matumaini kwa sababu mabasi yaliyowaleta hawayaoni na wala viongoz wa ccm hawaonekani, yaani wanahangaika kwelikweli
Ni aibu sana kwao pamoja na kujikomba bungeni kwa naibu spika kuwa uwanja ulitapika.