ithangaledi
Member
- Jun 4, 2011
- 84
- 57
Wakuu;
Nipo mwanza na habari ni kuwa ccm wamewatelekeza watu wengi sana bila ya kuwapatia usafiri wa kurudi makwao.
Hii ni baada ya kuwasomba jana kuwaleta kwenye maadhimisho ya miaka 35 ya chama chao.
Utawahurumia akina mama wengi na baadhi ya wanaume jinsi walivyokosa matumaini kwa sababu mabasi yaliyowaleta hawayaoni na wala viongoz wa ccm hawaonekani, yaani wanahangaika kwelikweli
Ni aibu sana kwao pamoja na kujikomba bungeni kwa naibu spika kuwa uwanja ulitapika.
Nipo mwanza na habari ni kuwa ccm wamewatelekeza watu wengi sana bila ya kuwapatia usafiri wa kurudi makwao.
Hii ni baada ya kuwasomba jana kuwaleta kwenye maadhimisho ya miaka 35 ya chama chao.
Utawahurumia akina mama wengi na baadhi ya wanaume jinsi walivyokosa matumaini kwa sababu mabasi yaliyowaleta hawayaoni na wala viongoz wa ccm hawaonekani, yaani wanahangaika kwelikweli
Ni aibu sana kwao pamoja na kujikomba bungeni kwa naibu spika kuwa uwanja ulitapika.