Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,209
Nimekaa nikatafakari inakuaje mwandamizi kama Jecha Salum Jecha ndani ya CCM asipelekwe kutibiwa nje ya nchi licha ya mchango wake uliotukuka katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 kule Visiwani.
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako.
Pia soma - TANZIA - Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo
Ikumbukwe, Jecha ndio aliyekuwa mwenyekiti wa tume visiwani humo na alifuta uchaguzi baada ya kuona hali ya sintofahamu.
Sasa CCM walishindwaje kumpeleka Jecha hapo Apollo India akapate matibabu ya daraja la juu? Ama kweli tenda wema nenda zako.
Pia soma - TANZIA - Jecha Salim Jecha afariki dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Jeshi Lugalo