Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
NAPE WAPIKE VIJANA WAKO HAWA ILI WAKUFAE ZAIDI NA KUTUPUNGUZIA KERO ZA KUANZISHA UTITIRI WA THREADS ZISIZO NA MANTIKI YOYOTE HAPA UKUMBINI KILA WAKATI
Nape, ni kweli tunahitaji changamoto kama hizi kutoka kwa vijana wako hawa hapa jamvini ila matatizo yao makubwa zaidi ni kwamba wengi wao ni:
1. Wepesi wa kuanzisha utitiri wa THREADS humu na kuzikimbia dakika hiyo hiyo,
2. Uwezo wa kujenga hoja au kutetea ni - 98 % hivyo inawawiia vigumu sana kutekeleza wajibu wao kwako ipasavyo,
3. Wanatoa madai mengi bila kufanya utafiti wowote wala kuweka uthibitisho wowote ule,
4. Ni hodari wa aina mipasho inayohitajika kwenye zile kurasa za jokes ...
NB: Mkuu Nape kabla haujaongezea malipo hawa ni vema ukawaandalie workshop ili watu waje kukusaidia kuwapiga msasa ili ukiwamwaga humu hata 20 tu hivi basi hata hiki chama chako ajuza (CCM) huenda kikajihisi umri wa ujana wake tena hapa jukwani.
Seriously do something Nape la sivyo vijana wako wataendelea kama hivi kuchomo THREAD za zamani kama hii hapa na kuirusha upya hewa na wao kukimbia kama kawaida yao.
Hakika hadi hivi sasa tumechoshwa mno na SUBSTANDARD THREADS AND ARGUEMENTS za hivi vijana vituko ulivyovimwaga hapa ukumbini bila wao kujua hata la kufanya zaidi tu ya kutamani kuonekana wako bize kama hivi.
Nape, ni kweli tunahitaji changamoto kama hizi kutoka kwa vijana wako hawa hapa jamvini ila matatizo yao makubwa zaidi ni kwamba wengi wao ni:
1. Wepesi wa kuanzisha utitiri wa THREADS humu na kuzikimbia dakika hiyo hiyo,
2. Uwezo wa kujenga hoja au kutetea ni - 98 % hivyo inawawiia vigumu sana kutekeleza wajibu wao kwako ipasavyo,
3. Wanatoa madai mengi bila kufanya utafiti wowote wala kuweka uthibitisho wowote ule,
4. Ni hodari wa aina mipasho inayohitajika kwenye zile kurasa za jokes ...
NB: Mkuu Nape kabla haujaongezea malipo hawa ni vema ukawaandalie workshop ili watu waje kukusaidia kuwapiga msasa ili ukiwamwaga humu hata 20 tu hivi basi hata hiki chama chako ajuza (CCM) huenda kikajihisi umri wa ujana wake tena hapa jukwani.
Seriously do something Nape la sivyo vijana wako wataendelea kama hivi kuchomo THREAD za zamani kama hii hapa na kuirusha upya hewa na wao kukimbia kama kawaida yao.
Hakika hadi hivi sasa tumechoshwa mno na SUBSTANDARD THREADS AND ARGUEMENTS za hivi vijana vituko ulivyovimwaga hapa ukumbini bila wao kujua hata la kufanya zaidi tu ya kutamani kuonekana wako bize kama hivi.