Hii ni Utopian thinking.
Kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti.
you are very right brother, kuna mimtu inatumia mata k kufikiri, nchi yetu inaongoza kutoka nyuma kwa umaskini, tunajua sababu zilizotufanya kuwa hivi, ni uongozi mbaya na ovyo chini ya utawala wa ssm! bado inatetea ujinga na upuuzi wa kishenzi, watoto na wadogo zetu hawajui hatima ya maisha yao, nchi imeuzwa yote, viongozi wote wala rushwa kupindukia na hawaendelezi nchi, sheria zinapindishwa , jamani bado hamuoni tunaenda kupotea, mijinga yote inatetea magamba!