Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,492
Hali ya kisiasa kwa CCM jimboni Bukombe ni ngumu sana. Prof Kahigi Mgombea wa CHADEMA anakubalika kuliko maelezo, bendera na vipeperushi vya CCM vimetolewa na kuchomwa moto! Wananchi wamekataa kabisa ujinga wa CCM na ahadi zao za alinacha. Emmanuel Vuhahula mgombea wa CCM anategemea kura za kuchakachua tu ila CHADEMA wataleta mawakala na wasimamizi wao kutoka Tarime maana hao wanajulikana kwa umakini wa kuzuia wizi wa kura. Nimetembelea Masumbwe na Lunzewe, Katoke, Nyamakunkwa, Ushirombo na Iyogelo hizo ni kata kubwa kwenye jimbo hili. Wananchi wamekuwa wakizomea na kutawanyika kwenye mikutano yote ya CCM na Vuhahula hajui la kufanya jimbo linaondoka kwake.
Prof Kahigi endelea kumwaga sera!
Prof Kahigi endelea kumwaga sera!