Baada ya kupigwa chini na JK sasa mh Maige ni kama kachanganyikiwa...kuna baadhi ya watu wake waliokua wakimpa pole ya kuvuliwa ubosi amewambia kwamba ccm siyo mama yake eti aipigie magoti na haoni tatizo kupigwa chini maana kafanywa mbuzi wa kafara!!!!!
Kauli hii inaonyesha alijaribu kumbembeleza mkulu lakini kamchomolea.
Ametoa kauli hiyo akiwa kaunta ya polisi au wapi? He deserve time in a cell
Alisema bado anadaiwa kulipa mkopo aliokopa CRDB na anategemea kumaliza deni mwaka 2015,kazi anayo
huyu ndiyo waziri jizi kuliko wote.
ni aibu gani kusafirisha wanyama hai kwenda karachi?
sasa huo mkopo ataumalizaje wakati sasa hivi ni unemployed na kisima cha hela hakipo tena?
Kama kaichoka sisiem tunamkaribisha sidiem eep:
Tehe tehe, wasukuma wametia fora kwenye utawala wa JK and Mkapa
1) Vijisenti
2) Bosi wa PCB
3) Bwana Megawati
4) Bwana Twiga.....
Baada ya kupigwa chini na JK sasa mh Maige ni kama kachanganyikiwa...kuna baadhi ya watu wake waliokua wakimpa pole ya kuvuliwa ubosi amewambia kwamba ccm siyo mama yake eti aipigie magoti na haoni tatizo kupigwa chini maana kafanywa mbuzi wa kafara!!!!!
Kauli hii inaonyesha alijaribu kumbembeleza mkulu lakini kamchomolea.
Baada ya kupigwa chini na JK sasa mh Maige ni kama kachanganyikiwa...kuna baadhi ya watu wake waliokua wakimpa pole ya kuvuliwa ubosi amewambia kwamba ccm siyo mama yake eti aipigie magoti na haoni tatizo kupigwa chini maana kafanywa mbuzi wa kafara!!!!!
Kauli hii inaonyesha alijaribu kumbembeleza mkulu lakini kamchomolea.
Ametoa kauli hiyo akiwa kaunta ya polisi au wapi? He deserve time in a cell