CCM siyo mama yangu-Maige!!!!!

Baada ya kupigwa chini na JK sasa mh Maige ni kama kachanganyikiwa...kuna baadhi ya watu wake waliokua wakimpa pole ya kuvuliwa ubosi amewambia kwamba ccm siyo mama yake eti aipigie magoti na haoni tatizo kupigwa chini maana kafanywa mbuzi wa kafara!!!!!

Kauli hii inaonyesha alijaribu kumbembeleza mkulu lakini kamchomolea.

huyu ndiyo waziri jizi kuliko wote.


ni aibu gani kusafirisha wanyama hai kwenda karachi?
 
Tehe tehe, wasukuma wametia fora kwenye utawala wa JK and Mkapa

1) Vijisenti
2) Bosi wa PCB
3) Bwana Megawati
4) Bwana Twiga.....

na yule wa National Identity ... Masha

teh teh teh
 
Baada ya kupigwa chini na JK sasa mh Maige ni kama kachanganyikiwa...kuna baadhi ya watu wake waliokua wakimpa pole ya kuvuliwa ubosi amewambia kwamba ccm siyo mama yake eti aipigie magoti na haoni tatizo kupigwa chini maana kafanywa mbuzi wa kafara!!!!!

Kauli hii inaonyesha alijaribu kumbembeleza mkulu lakini kamchomolea.

But amenyonya ziwa la mama huyo hadi akaweza kujipatia majumba na vitalu!!!! She must be her supper mummy asitudanganye hapa. Maneno ya mkosaji tu hapa!! Akaendelee na biashara zake za malori si alisema anapata dola 10 hadi 20 elfu kwa gari moja kwa mwezi? Ha ha ha atakoma, bora wenzake walikaa SSM na uongozi kwa muda mrefu so walonyonya mrija kiukweli!! Anyway apishe na wengine wale bata!!! Ila nimefurahi vijana wa Rostam wengi nje!!! Masha, Ngeleja, Maige!!!!
 
hata kama hajachaguliwa ashavuna vya kutosha, arudi jimboni ajipange kuchukua ubunge tena 2015 aweze kula mema ya nchi
 
Baada ya kupigwa chini na JK sasa mh Maige ni kama kachanganyikiwa...kuna baadhi ya watu wake waliokua wakimpa pole ya kuvuliwa ubosi amewambia kwamba ccm siyo mama yake eti aipigie magoti na haoni tatizo kupigwa chini maana kafanywa mbuzi wa kafara!!!!!

Kauli hii inaonyesha alijaribu kumbembeleza mkulu lakini kamchomolea.

Maige, haya ndiyo tunayoita mapovu toka kinywani mwako. Really? Are U serious lakini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom