CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
- Thread starter
- #41
kwa habari za kuaminika ni kwamba hawa jamaa watashitakiwa pamoja na makatibu wao na wakurugenzi wa wizara.
Baada ya kupigwa chini na JK sasa mh Maige ni kama kachanganyikiwa...kuna baadhi ya watu wake waliokua wakimpa pole ya kuvuliwa ubosi amewambia kwamba ccm siyo mama yake eti aipigie magoti na haoni tatizo kupigwa chini maana kafanywa mbuzi wa kafara!!!!!
Kauli hii inaonyesha alijaribu kumbembeleza mkulu lakini kamchomolea.
Swali langu sasa ni je Ule mkopo USD400,000 atalipa na income za yale malori mawili?????????????
Huyu Jamaa tuna hasira nae sana nyumba na malori lazima tuyachukue,arudishe twiga,tembo,vifaru wote aliouza!
We paka shume wa wapi? Tuanze na akina lowasa kwanza kabla ya maige,wachumia tumbo mna makelele!Huyu Jamaa tuna hasira nae sana nyumba na malori lazima tuyachukue,arudishe twiga,tembo,vifaru wote aliouza!
kama david mataka alishtakiwa mahakamani kwa kutoongoza vyema shirika la ndege,na hawa mabwana washtakiwe kwa kuliingizia hasara taifa.:A S-baby:
Huyu jamaa si ana majumba mawili ya dola 410,000 kila moja....
Na malori yanayomuingizia dolari 20,000 kwa mwezi....
Dude is ballin'
Alisema bado anadaiwa kulipa mkopo aliokopa CRDB na anategemea kumaliza deni mwaka 2015,kazi anayo
La kujibu analo maana mamlaka husika zimeshapewa kibali cha kufanya uchunguzi then kuanza kamata kamata.Ina maana huyu gamba hatakuwa na la kujibu mbele ya mahakama jamani.?
Hili haliwezekani kbs ktk jamii ya Watanzania.
Ila nina hofu kwa sababu ya uongozi ulioko madarakani.