kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
anasema chama hicho kimepoteza nguvu kukabili wapinzani, adai oparesheni sangara ya chadema inawatesa.
Asema misingi yote ya tanu, asp imetoweka. Mwanasiasa mkongwe huyo alitoa kauli hiyo alhamisi (jana) kwenye mkutano mkuu wa nane wa uvccm alipopewa nafasi ya kuzungumza na kutoa nasaha zake.
Aliongeza kusema pamoja na ccm kuwa na mtandao na nguvu kubwa, hakijui kutumia nguvu hizo, kama ilivyokuwa katika enzi za tanu na asp.
Kuhusu wapinzani hasa chadema alisema chama hicho kinaendesha operesheni sangara sisi tupo, uvccm na ccm inakiachia chama hicho kuzunguka nchi nzima sisi kimya, wanaendelea kuimarika .. Sijui hii inatokana na usingizi au sijui ni kutosheka
hii ni habari kuu ukurasa wa mbele wa gazeti la mtanzania ya leo na habari kamili iko ukurasa wa 3.
my take hapo kwenye red:
huenda viongozi wa ccm na uvccm wanabweteka kwa sababu wanategemea sana vyombo vya dola (eg policcm) kupunguza nguvu ya cdm hasa katika ule mpango uliosukwa wa kila mara kujaribu kukionyesha chama hicho kuwa ni cha vurugu.
hapo ukipopigia red.....mzee anazeeka vibaya, alitegemea ccm nayo izunguke mtaani kufanya operation badala ya kudeliver to the expetation???
Halafuu huyu mzee pia ni kirusi....pamoja na kujifanya si muumini wa dini yeyote ... Jk alimtuma misikitini morogoro kumwombea kura dakika za majeruhi .......mnafiki mkubwa