unamaanisha hivi mkuu?
hasubiri lolote, sana sana anaota ngono na Lulu
nimesikitika sana nilipo lipitia the citizen la jana kuwa list ya nchi walioficha pesa uswisi ni - in ascending order. Nambari one kulala,dhaifu, kuiba, kufisadi, na kuzini, kazi ZERO
nimesikitika sana nilipo lipiti the citizen la jana kuwa list za viongozi walificha pesa uswisi ni - in ascending order
- kenya
- tanzania
- uganda
- rwanda
- burundi
nadhani ndiyo maana kila bunge lazima kutokee misamiati mipya ya serikali yetu mfano;
- last bunge - serikali legelege by David Kafulila
- current bunge - serikali dhaifu by John Mnyika
- net bunge ....................... by ............................
unamaanisha hivi mkuu?
Haya yalitakiwa yashitakiwe kwa kukabemenda katoto.
Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.
Mwacheni alale kesi ile inampa mawazo sana.
Anawaza kwa kutumia tumbo!Anaongea kwa kutumia masaburi anaota kwa kumtumia lulu anatembea kwa kutumia kiuno analala kwa kutumia magamba K*MB*=Mbumbumbu= Wa*ira=Usingizi/Uzinzi-kiduku+Ndioooooooooooooooooooo=Umasikini wa taifa letu
ni hilo limoja la chini ndio lilimbemenda lulu.