CCM Nambari wani

unamaanisha hivi mkuu?
attachment.php


270977_383365241722727_736925910_n.jpg

teh'teh'teh'teh umenifurahisha sana kamanda kwa kuunganisha haya matukio ya hawa wanyama.
 
unene mbaya sana, hasa kama unakula hovyo...maana hapo walipolala wanaweza kupumua rotten eggy smell !
 
. Nambari one kulala,dhaifu, kuiba, kufisadi, na kuzini, kazi ZERO
nimesikitika sana nilipo lipitia the citizen la jana kuwa list ya nchi walioficha pesa uswisi ni - in ascending order
  1. kenya
  2. tanzania
  3. uganda
  4. rwanda
  5. burundi

nadhani ndiyo maana kila bunge lazima kutokee misamiati mipya ya serikali yetu mfano;

  1. last bunge - serikali legelege by David Kafulila
  2. current bunge - serikali dhaifu by John Mnyika
  3. net bunge ....................... by ............................
 
nimesikitika sana nilipo lipiti the citizen la jana kuwa list za viongozi walificha pesa uswisi ni - in ascending order
  1. kenya
  2. tanzania
  3. uganda
  4. rwanda
  5. burundi

nadhani ndiyo maana kila bunge lazima kutokee misamiati mipya ya serikali yetu mfano;

  1. last bunge - serikali legelege by David Kafulila
  2. current bunge - serikali dhaifu by John Mnyika
  3. net bunge ....................... by ............................

Silly Season ............ By Tundu Lissu
 
Hapa ndio utaelewa kuwa tanzania ina safari ndefu,huyu jamaa naye alichaguliwa na wa2 ili awawakilishe.kaazi baba!
 
Si huyo peke yake, wako wengi tu
wanachota 200,000 kila siku kwa kulala bungeni!


asset.php
asset.php
asset.php
asset.php


What they share in common, ni CCM!
 
attachment.php

baada ya miaka 50 ya kuwa huru kutoka kwa wakoloni na kuwa kifungoni kwenye utawala dharimu

kisha utamsikia " mh, awali ya yote naunga mkono hoja kwa 500% pia na napongeza mke na watoto wangu bila kumsahau ................"
 
kidumu chama cha mapinduzi....................
zidumu fikra za mwenyekiti..................................

KAAZI KWELI KWELI
 
Anawaza kwa kutumia tumbo!Anaongea kwa kutumia masaburi anaota kwa kumtumia lulu anatembea kwa kutumia kiuno analala kwa kutumia magamba K*MB*=Mbumbumbu= Wa*ira=Usingizi/Uzinzi-kiduku+Ndioooooooooooooooooooo=Umasikini wa taifa letu
 
Anawaza kwa kutumia tumbo!Anaongea kwa kutumia masaburi anaota kwa kumtumia lulu anatembea kwa kutumia kiuno analala kwa kutumia magamba K*MB*=Mbumbumbu= Wa*ira=Usingizi/Uzinzi-kiduku+Ndioooooooooooooooooooo=Umasikini wa taifa letu

ukishakuwa mwanachama wa ccm uwezo wa kufikiri unapotea
 
Back
Top Bottom