CCM Nambari wani

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,975
9,566
270977_383365241722727_736925910_n.jpg

Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.
 
270977_383365241722727_736925910_n.jpg

Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.

Hii picha ni Mhe. Captain John Komba ambaye kwenye Mchango wake wa BAJETI 2012/13 alikurupuka na kusema ati Wabunge wa UPINZANI WAKAPIMWE AKILI HOSPITAL YA MIREMBE NDIPO WAREJEE BUNGENI KWA VILE WALIKUWA WANAPINGA BAJETI NZURI YA SERIKALI YA CCM!!!

Hapa huyu jamaa amelala fofofo sasa ni saa ngapi alisikia michango ya Wabunge wa upinzani na akawahukumu kuwa ni vichaa. Huyu Komba nafikiri anaumwa,huku kulalalala Bungeni si bure. Tunasikia sifa za Komba hata akapewa Ubunge ni KUKATA MAUNO KWENYE ILE BENDI YA JESHI-TAARABU. Huku ndo kwenye maeneo yake,huku Bungeni hakumfai!!!!
 
Hii picha ni Mhe. Captain John Komba ambaye kwenye Mchango wake wa BAJETI 2012/13 alikurupuka na kusema ati Wabunge wa UPINZANI WAKAPIMWE AKILI HOSPITAL YA MIREMBE NDIPO WAREJEE BUNGENI KWA VILE WALIKUWA WANAPINGA BAJETI NZURI YA SERIKALI YA CCM!!!

Hapa huyu jamaa amelala fofofo sasa ni saa ngapi alisikia michango ya Wabunge wa upinzani na akawahukumu kuwa ni vichaa. Huyu Komba nafikiri anaumwa,huku kulalalala Bungeni si bure. Tunasikia sifa za Komba hata akapewa Ubunge ni KUKATA MAUNO KWENYE ILE BENDI YA JESHI-TAARABU. Huku ndo kwenye maeneo yake,huku Bungeni hakumfai!!!!

Komba anathibitisha ule usemi wa Kichaa kuwaona watu werevu kuwa ndiyo vichaa. Komba siyo mwanasiasa, bali shabiki wa wanasiasa.
Kati ya watu wanaolamba viatu vya vigogo, Komba ni nambari wani!
 
Na hapo alipo atakuwa ana muota Lulu, akishtuka tu anagonga meza ndiyooooooooo!!!!!!!!!
Na huyu anaposinzia hata wakati wa kula huwa anamuota nani?
 

Attachments

  • Wassira.jpg
    Wassira.jpg
    16.7 KB · Views: 815
Wananchi wa jimbo lake wanatakiwa wamwone mheshimiwa mbunge wao mchumba wa Lulu jinsi anavyowawakilisha ipasavyo.
 
Back
Top Bottom