Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.
Hii picha ni Mhe. Captain John Komba ambaye kwenye Mchango wake wa BAJETI 2012/13 alikurupuka na kusema ati Wabunge wa UPINZANI WAKAPIMWE AKILI HOSPITAL YA MIREMBE NDIPO WAREJEE BUNGENI KWA VILE WALIKUWA WANAPINGA BAJETI NZURI YA SERIKALI YA CCM!!!
Hapa huyu jamaa amelala fofofo sasa ni saa ngapi alisikia michango ya Wabunge wa upinzani na akawahukumu kuwa ni vichaa. Huyu Komba nafikiri anaumwa,huku kulalalala Bungeni si bure. Tunasikia sifa za Komba hata akapewa Ubunge ni KUKATA MAUNO KWENYE ILE BENDI YA JESHI-TAARABU. Huku ndo kwenye maeneo yake,huku Bungeni hakumfai!!!!
Na huyu anaposinzia hata wakati wa kula huwa anamuota nani?Na hapo alipo atakuwa ana muota Lulu, akishtuka tu anagonga meza ndiyooooooooo!!!!!!!!!
Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.
Kwi! Kwi! Hawa ndio viongozi tuliowatuma kutuwakilishaunamaanisha hivi mkuu?
. Nambari one kulala,dhaifu, kuiba, kufisadi, na kuzini, kazi ZERO
Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.