Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,005
malale husababishwa na mbun'go.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!! siyo kwamba ukiwa ndani ya Chama Cha Mapenzi unakumbwa na hilo tatizo Mkuu?
Mwacheni alale kesi ile inampa mawazo sana.
Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.
mpwa,Na hapo alipo atakuwa ana muota Lulu, akishtuka tu anagonga meza ndiyooooooooo!!!!!!!!!
Kwani alishatajwa mkuu? hahaaaaaaaa!!!!![
/QUOTE]
anajua atatajwa kesi ikianza kusikilizwa
Aliamua kulala baada ya kuona mbunge wenu anaongea upumbavu
Futa kauli yako mh....sema alikuwa amemeza piritoni....si umesikia pesa za rushwa wanaziita chenji za rada...Hapa huyu jamaa amelala fofofo sasa ni saa ngapi alisikia michango ya Wabunge wa upinzani na akawahukumu kuwa ni vichaa. Huyu Komba nafikiri anaumwa,huku kulalalala Bungeni si bure. Tunasikia sifa za Komba hata akapewa Ubunge ni KUKATA MAUNO KWENYE ILE BENDI YA JESHI-TAARABU. Huku ndo kwenye maeneo yake,huku Bungeni hakumfai!!!!
huyu atakuwa mmliki amana alikuwa ananunua mpaka gari...mpwa,
mi mgeni maeneo haya, inamaana huyu m'baba na Lulu ni mambo swafi?, na Kanumba nae alikua anaibia tu au nani 'mmiliki' halali wa Lulu??
nauliza tu jamani.
Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.
mpwa,
mi mgeni maeneo haya, inamaana huyu m'baba na Lulu ni mambo swafi?, na Kanumba nae alikua anaibia tu au nani 'mmiliki' halali wa Lulu??
nauliza tu jamani.
Hivi aliwezaje kula tunda na yule kinda? Ndiyo maana ni lazima alale mchana maana makinda na nguvu zao hili zee na limwili hilo hakuna kitu labda kama anasaidiwa na V.I.A.G.R.A. Hivi ni nani anaweza kunikumbusha kama huyu tingatinga ameshawahi kuchangia hoja bungeni? Kweli nchi hii, ndiyo wanaopitisha bajeti na sheria za nchi hii, je si ndiyo maana ni bajeti DHAIFU!!
Alishawahi kuchangia Mkuu. Alichangia kuwa Wabunge wa CHADEMA kabla hawajaingia bungeni wapitie Mirembe wakapimwe akili.
Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.