johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,081
Hakuna namna Wabunge hawa wa Bunge la JMT wanaweza kufanya Mabadiliko yoyote yatakayowasaidia Wapinzani kwa Sababu Bunge zima ni la CCM
Kwahiyo Chadema wasiwachoshe Watu bure kwa Sababu hakuna Chochote wanachoweza kumshinikiza na kikakubaliwa na Wabunge wa CCM
Mlale Unono 😀😀
Kwahiyo Chadema wasiwachoshe Watu bure kwa Sababu hakuna Chochote wanachoweza kumshinikiza na kikakubaliwa na Wabunge wa CCM
Mlale Unono 😀😀