mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
CCM ndio inaelekea kaburini maana inapumua kwa mashine, kwetu ngudu hata wazee wanaisema vibaya kwani imewachosha sana
Tatizo la vijana wengi huwa hawajitokezi kwenda kupiga kura japokuwa niwahudhuriaji wazuri wa mikutano ya kampeni.
We wataka kuchekwa, vp unaongelea tatzo la Enzi hizo? Mwaka jana ilikuwa mwanzo tu, we usihofu kaa mkao wa kula.
Siamini ninachoendelea kukishuhudia kupitia taharifa ya saa2 ITV kuhusiana na mchakamchaka wa Igunga,ndugu zangu tokea juzi CCM inaonekana kukumbwa na uhaba mkubwa wa watu na kwa sasa mikutano yao inaudhuriwa na akina mama wazee pamoja na watoto wa nursery tofauti na wenzao CDM wanaoonekana kujawa na umati mkubwa wa watu kuanzia akina mama,mababa na hasahasa rika vijana wenye kuwa na hamasa kila dakika huku bashasha zao zikionesha dhairi kuikubali CDM
Nimejiuliza sana pasipokupata jawabu kwenye hili..nawasilisha wakuu,hebu tusaidiane
Nakumbuka enzi zetu wakati tupo primary na mambo ya unajimu wa Napoleon!!!! Unaanza hivi: "Je, kweli zaituni ananipenda? Je, kweli zaituni ananipenda? Je, kweli zaituni ananipenda? Je, kweli zaituni ananipenda? Je, kweli zaituni ananipenda? " unasema hivyo mara tano huku ukichora tally kisha unaziunganisha mbilimbili!!!! Ukishamaliza hiyo kazi, unaangalia jibu ambapo unakuta jibu hili: "Anakupenda kwelikweli, kila siku halali akikuota wewe!" Baada ya jibu la braza Napoleon, unapata bonge la confidence na unaamua kutia timu kwa Zaituni ili ukamsomeshe ikibidi akupe mambo cku hiyo hiyo!!!! Ile kumgusa tu Zaituni, kudadadeki, si mitusi hiyo....."Unikome, we fa...ra nini; unikome kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mama yako....!! Duh! Unatoka pale mnyongeeee, halafu unaenda kuangalia kama uliziunganisha vizuri tally zako!!!!!!
ndio nini sasa,inatakiwa ukalale,halafu ubongo wako uuformat
Tatizo la vijana wengi huwa hawajitokezi kwenda kupiga kura japokuwa niwahudhuriaji wazuri wa mikutano ya kampeni.