assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
kwan ccm nacho chama, hivi cha wapi vile? cha mabwepande au ni kundi la mafia kama ilivyo kwa lile la italia
Hoja za kuanzia saa 4 usiku hizi, kichwani full viloba,gongo,wanzuki nk.
Wewe unachotaka nini hivi umejaribu kufikiria hata kwamda kidogo tu?Ccm ingekuwa dem hata angekaa uchi mbele yangu na ajitanue wala nisinge tamani ndo kwanza inge lala
Oya hapa hatubishani kama umechoka nenda kalale:sleepy::sleepy::sleepy:
Kwani tatizo ni nini unakasirika mbona sikuelewi?we mtoto unikome,polis wenu wameniulia ndugu yangu usitake kuniletea machungu mengine,kama umeshindwa kufunzwa na mama yako,ntakufunza mimi,ohooo!we nchezee na hivyo roba vyako uone :drunker:
Mimi dume tena la ukweli. Dume la Kisukuma linakula ugali mgumu.
Hii ni kweli:-
1. Ni chama sikivu
2. Wanajua jinsi ya kutatua matatizo
3. Wameiweka nchi katika hali ya utulivu.
NI ZAIDI YA TUPOI na U-POYO:CHAMA CHA MABWEPANDE NI SIKIVU?.Hii ni kweli:-
1. Ni chama sikivu
2. Wanajua jinsi ya kutatua matatizo
3. Wameiweka nchi katika hali ya utulivu.