Huyu Mwanajamii akalale anaongea pumba tangu mwanzo mpaka mwisho. Hasomi alama za nyakati na wachangiaji wa namna hii wamepoteza umaarufuwa JF. Mtu unahitajika kutumia akili kidogo sio muda wote uonekane kichwa kimepumbaa. Atangulie na umaarufu wa CCM Arusha tuitamkuta mbele kwa mbele. Vita vya ukombozi sio lelemama hivyo tusipotezeane muda kwa kubadilishana upupu.