Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wadau: baada ya sakata la Arusha, wengi wanasema kuwa kukubalika kwa CCM mjini humo umezidi kushuka sana kiasi kwamba uchaguzi ukifanyika siku yoyote kuanzia leo CCM inaweza ikaambulia si zaidi ya asilimia tano ya kura zote!