mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Nappe amesema CCM haitakuja kufa na itaongoza milele.
Ameitoa kauli hiyo kufuatia kauli zilizotamkwa na wazee 3 ambao ni Butiku, Kitine na mzee Kaduma waliosema kuwa CCM inakaribia kufa bin kutokomea.
Source: ITV taarifa ya habari saa mbili jioni ya leo
Ameitoa kauli hiyo kufuatia kauli zilizotamkwa na wazee 3 ambao ni Butiku, Kitine na mzee Kaduma waliosema kuwa CCM inakaribia kufa bin kutokomea.
Source: ITV taarifa ya habari saa mbili jioni ya leo