Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Maigizo + Delay Tactics at BEST..lol
Hivi kweli watanzania ya karne ya 21 bado wana mwamini mzee huyu?.
yale yale tu - nikihesabu vikao vya dharura alivyoitisha jk hiki kitakuwa cha 18! Same same stories - wanatuongezea foleni tu hapa dar!
- Wa-Tanzania tufike mahali ni lazima tu-pay attention kwa what we have na sio what we do not have, CC na NEC za CCM, Chadema na CUF siku zote lazima ziwe our national news, kwa sababu kwanza wote wameanzia TANU, halafu wote wanaamini in Mwalimu baba wa taifa letu.
- Sasa ni muhimu tukatafuta habari za kuelekea kwenye hivi vikao kulikoni kuliko jazba na ngonjera, wastaarabu wote hawakatai wito, huwa wanakataa jambo baada ya kusikiliza wito kwanza, we are responsible kuwa hapa tulipo sasa tusisingizie wengine, tubebe msalaba understanding kwamba tunajua tunataka nini na hatutaki nini kutoka hivi vyama vyetu!
- Hakuna anayelipwa na mtu hapa kuleta habari, wote tunajitolea tu kupashana habari na kufahamishana kinachoendelea, kama hii thread unaona ni waste of your time si kubadili channel tu na ndio Demokrasia yenyewe!
Respect.
FMEs!
True that kabisa; if we love our country we have to pay attention kwenye haya mambo hata kama hatupendi au tunadharau...
Lakini nina funny feelings kwamba pamoja na attention yetu hakuna jipya kwani yote wamejadiliwa na JF in details kuliko hata yatakavyojadiliwa;
Sheria ya uchaguzi na kile kipengele chenye utata
Mpasuko na kauli za Sitta
Ajali ya kibamba
Msukumo wa vijana
AOB
Hata hivyo anaroho ngumu kuachia chama kikawa na Katibu wa aina hii.- lakini nina imani kubwa sana kwamba something is up, hizi nafasi za Katibu, Naibu Katibu na Secretariat, sitashangaa kama wote wakiondolewa.
very possible mkuu.... tumuombee apate jeuri ya kuwapiga chini japo wawili wawe mfano utaona nchi inabadilikaUnaweza kuta jamaa hana nafasi ya kuitisha vikao vya kawaida si unajua ratiba yake imejaa kwa safari za nje.
who is doing the thinking for the country. Uki disect vitu vinavyoendelea serikalini utajua kuwa nchi inaenda kama nguruwe tu!
Kupoteza rasilimali za walipa kodi kwa ajili ya hiyo mikutano isiyokuwa na tija. Shame.
Kinachonifanya nifurahie posts zako Wild Card ni uwezo wako mkubwa wa kunicomvince niamini kuwa wewe ni hodari wa KUOTA NDOTO MCHANAAngalau CCM mambo yanakwenda kwa vikao. Kinachoamuliwa na utekelezaji wake vinabaki kuwa kitendawili. FMES tunakushukuru kwa "current affairs" za chama hiki kinachotutawala tutake tusitake kwa miaka mingi ijayo!