CCM: Dharura Kamati Kuu & NEC, Kuna Nini Huko?

Jamani tusubiri kwani tarehe 28 March si mbali, kwanini tuanze kutabiri hili na lile wakati ukweli utakuwa wazi hivi karibuni?.
 
- Wakuu JF heshima mbele sana, According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Mwenyekiti wa CCM taifa ameitisha vikao vya dharura, yaani Kamati Kuu ya CCM Tarehe 28/3/10 na kingine cha NEC Tarehe 8/4/10 na kwamba ameamuru vikao vyote vifanyike Dar, Karimjee Hall,

- Kinachotisha hapa according to the dataz ni agenda ya hiyo mikutano miwili muhimu ambazo inasemekana anazo yeye mwenyewe kinyume na kawaida ya kutayarishwa na Katibu Mkuu, ambaye inaelezwa aliachwa solemba na Mkulu, alipojaribu kuitisha Secretariat ili ku-set agenda ya hivi vikao!

- Tayari kuna viongozi wameanza kuingiwa na homa kali kuhusiana na hii dharura, ambayo inaaminika kwamba kuna la mgambo nyuma yake kutokana na lugha ya ukali aliyoitumia Mkulu! Hali ya hewa ikitulia nitamwaga some more dataz sasa hivi noma, aahhggrr JF Where we dare mwanangu!

Respect.

Field Marshall Es = Wazee Wa Sauti Ya Umeme!

Mbona agenda ameshazitaja huyu bwana mkubwa hapa chini!

sheikh-yahyabc.jpg
 
Alitabiri Simba kuifunga Azam kwi kwiw kwiw!! ... "utabiri" ambao hata mwanangu wa miaka minne anaweza
 
hapo sijaona udharura wowote,angeitisha kikao kesho cha kwanza na cha pili keshokutwa hapo ningekuwa na utayari wa kusikiliza kitakachojiri,lakini mda wote huo alowapa,bila shaka wajumbe/au walengwa wamekwishapanga mada tayari.

kikao kishakwisha kabla ya kuanza.

tafakari
 
Mkuu Es,
Kama nilivyosema bado nimebakiwa na chembe za imani na JK, na chembe hizi ndizo zinazonifanya niote ndoto kwamba the man is going to do something; I really don't want to be indenial kwamba he will abuse and lose the power to clean his own mess.

Leo hii watanzania wanamwona JK katika miono 3: (a) watu ambao walikuwa (na wanaendelea) imani naye, wanaona JK ana nafasi kubwa yakuweka historia Tz lakini anashindwa. Watu hawa wanashinda wakisali kwamba mungu ampe JK nguvu na ujasiri na achukuwe hatua ili Tz ibakie nchi ya amani naya utawala wa sheria. Kundi hili linakatishwa tamaa kuona kwamba bado JK ana urafiki wa siri siri na watu anaotakiwa awachukulie hatua, as the result JK losses trust of his own followers. Binafsi niko katika kundi lenye muono huu.

Muono mwingine (b) ni wa watu ambao walikuwa na imani haba na JK na makundi ndani ya CCM yakamomonyoa imani yao kwa JK. Hawa ndio wanaoshangilia mapungufu ya JK na kumshauri hasichukuwe hatua yeyote, ili kwa unafiki wao mafisadi washinde. Sadly JK seems to be giving in to these people.

Muono wa tatu (c) ni wa watu ambao ni waoga na wasiotaka mabadiriko ya kweli ndani ya CCM. Hawa wanaona tayari JK kafanya makubwa ambayo hayajawahi kutokea, including kufungua kesi za mafisadi (vidagaa). Hawa wako tayari at any cost ku accommodate mafisadi na wapiganaji ili wabaki chungu kimoja. Wanamtaka JK awe msuluhishi wa kesi yake mwenyewe badala ya kuwa muamuzi. Wanaamini kwamba JK anaweza kukivunja chama na amani endapo atachukuwa hatua. To their advantage watu kwenye muono (b) ndio wana feed kwenye muono (c) na kusababisha JK awe na wakati mgumu.

JK must wake up, and I pray he does. He must appreciate absence of life-long friend or enemy in politics. In politics friends can be just as deadly as enemies and so they should be treated....kama mafisadi wamefikia hatua ya kupata support ya wanajeshi crisis bells must go off and president must act. I live to think he will act, I don't want to think otherwise.
 
Mkuu Es,
Kama nilivyosema bado nimebakiwa na chembe za imani na JK, na chembe hizi ndizo zinazonifanya niote ndoto kwamba the man is going to do something; I really don't want to be indenial kwamba he will abuse and lose the power to clean his own mess.

Leo hii watanzania wanamwona JK katika miono 3: (a) watu ambao walikuwa (na wanaendelea) imani naye, wanaona JK ana nafasi kubwa yakuweka historia Tz lakini anashindwa. Watu hawa wanashinda wakisali kwamba mungu ampe JK nguvu na ujasiri na achukuwe hatua ili Tz ibakie nchi ya amani naya utawala wa sheria. Kundi hili linakatishwa tamaa kuona kwamba bado JK ana urafiki wa siri siri na watu anaotakiwa awachukulie hatua, as the result JK losses trust of his own followers. Binafsi niko katika kundi lenye muono huu.

Muono mwingine (b) ni wa watu ambao walikuwa na imani haba na JK na makundi ndani ya CCM yakamomonyoa imani yao kwa JK. Hawa ndio wanaoshangilia mapungufu ya JK na kumshauri hasichukuwe hatua yeyote, ili kwa unafiki wao mafisadi washinde. Sadly JK seems to be giving in to these people.

Muono wa tatu (c) ni wa watu ambao ni waoga na wasiotaka mabadiriko ya kweli ndani ya CCM. Hawa wanaona tayari JK kafanya makubwa ambayo hayajawahi kutokea, including kufungua kesi za mafisadi (vidagaa). Hawa wako tayari at any cost ku accommodate mafisadi na wapiganaji ili wabaki chungu kimoja. Wanamtaka JK awe msuluhishi wa kesi yake mwenyewe badala ya kuwa muamuzi. Wanaamini kwamba JK anaweza kukivunja chama na amani endapo atachukuwa hatua. To their advantage watu kwenye muono (b) ndio wana feed kwenye muono (c) na kusababisha JK awe na wakati mgumu.

JK must wake up, and I pray he does. He must appreciate absence of life-long friend or enemy in politics. In politics friends can be just as deadly as enemies and so they should be treated....kama mafisadi wamefikia hatua ya kupata support ya wanajeshi crisis bells must go off and president must act. I live to think he will act, I don't want to think otherwise.

- Mkuu Wangu this is a very strong analysis na ndio reality yenyewe, nasikia mengi sana huko ndani, lakini kama haku-act this time basi itakua ni sikio la kufa tena, lakini nina imani kubwa sana kwamba something is up, hizi nafasi za Katibu, Naibu Katibu na Secretariat, sitashangaa kama wote wakiondolewa.

- Halafu cha kutisha sana ni kwamba hata makatibu wote wa Wilaya, Mikoa na Wenyeviti wao nasikia nao wameitwa bila kukosa, now this is serious, na the fact kwamba Mkulu all over sudden ni mkali sana, maana hata bara bara zote kuelekea Lumumba si zimefungwa mpaka atakapomaliza mkao wake wa kibubu tena wa bila ushauriano na wenzake, tusubiri mkuu!

Respect.


FMEs!
 
La mno hakuna hapa! Five years of His leadership has been marked with big smiles,
na kutoongea kabisa kuhusu matukio makubwa ambayo yangehitaji mwongozo kutoka kwa mkuu wa nchi! Naikumbuka sana sentence yake pale Bungeni
"I’m might be wearing a smiling face but I’m assertive on issues" the truth which has been the opposite
 
Mkuu FMES, CCM hawafuati nyayo za baba wa Taifa; that's is very clear.

- Mkuu Wangu Kiwalani, hata sisi wananchi huwa hatufuati nyayo zake Baba wa Taifa, si unajua hawa viongozi ni reflection yetu wenyewe, yaani wananchi!

Respect.


FMEs!
 
Mkuu FMES
Ndo kwanza narudi safari kutoka msibani.
Nimekupata, nimekusoma. NAKUAMINI

tujuze zaidi mkuu.

Yote HERI
 
JK must wake up, and I pray he does. He must appreciate absence of life-long friend or enemy in politics. In politics friends can be just as deadly as enemies and so they should be treated....kama mafisadi wamefikia hatua ya kupata support ya wanajeshi crisis bells must go off and president must act. I live to think he will act, I don't want to think otherwise.

Wengi sana wanasali hiyo sala, lakini naona haijapata majibu, ama huyo JK aliyelala anaonekana amelala usingizi wa pono. Kila wakati huwa ninaona baadhi ya wana CCM na wananchi wenye muono (a) [according to MgonjwaUkimwi] wakishangilia pindi wasikiapo habari kama hizi, lakini mwisho wa siku huishia kukata tamaa.

Sina imani na JK, kulikuwa na opportunities nyingi sana za JK kuweza kurekebisha mambo kwenye Chama na serikalini, lakini watu waliomzunguka kuanzia kwenye chama mpaka serikalini hawako tayari kwa hayo mageuzi na pia yeye anaogopa kuonekana mbaya, matokeo ndiyo hayo ya kukosa maamuzi, hakuna kinachofanyika hata pale palipo na ushahidi wa wazi.

Huu ni mwaka wa uchaguzi, JK hawezi kufanya kitu kikubwa ama kuchukua maamuzi mazito kwa kuwa hataki kupoteza wabunge japo tayari ana uhakika wa kuchaguliwa tena kuwa Rais wa nchi hii. Akipoteza wabunge wengi wa CCM, Bunge litamsumbua sana na sidhani kama yuko tayari kupata kasheshe kama za Richmond ambazo zimeonyesha kupwaya kwa serikari na jinsi wabunge wa CCM wasivyoaminika.
 
Hakuna lolote katika hizi mikutano ambazo hazina mwelekeo wowote. CCM ni kundi la watu ambao wameunganishwa na "one common interrest"; Madaraka. Hawana wanachokiamini pamoja, hawana falsafa, hawana mwelekeo! Ni vitofauti vya hapa na pale tu visivyokuwa na impact yoyote katika mustakabali wa taifa hili.

Jambo kubwa hapa ni jinsi ya kugawana madaraka bila kuingiliana, hakuna jipya!
Mkuu KP,
Naomba nikusahihishe, hapo kwenye nyekundu isomeke UFISADI. Kila aliyeko CCM lengo lake ni ufisadi hata kama hana madaraka!
 
Mkuu KP,
Naomba nikusahihishe, hapo kwenye nyekundu isomeke UFISADI. Kila aliyeko CCM lengo lake ni ufisadi hata kama hana madaraka!

Peasant taratibu na wenye chama ... unataka kusema wote walio ndani ya CCM ni mafisadi?
 
ccj wamefuata nyayo gani?ama ile kwenda kulia kwenye kaburi?

Mkuu bado sijajuwa kama wanafuata nyayo ama lah, maana siwezi wapa hukumu kabla sijajuwa wanaenda vipi?

Lakini waliobaki hakuna hata mmoja anayefuata nyayo.
 
Hii nchi kweli imelaaniwa. JK anaitisha mkutano ujinga mtupu huyu ni rais ambaye lazima atakwenda jela wakati wake ukifika. Kama angekuwa mtekelezaji asingeita mkutano angewafukuza kazi mafisadi na kwenda mbele kulitumikia taifa linalomlipa. Matokeo yake anawaita waendelee kutafuna fweza za walipa kodi.

Mkwere mbabaishaji na mwenye maneno kama sukari baada ya huo mkutano ndio imetoka hiyo. Sijui ilikuwaje awahadae mamillioni ya WTZ kumpa kura wakati historia yake yote ya ufanyaji kazi ilikuwa wazi. Lazima mwaka huu Watanzania waamue kusuka ama kunyoa lakini kwa mwendo huu wa Jakaya tumeliwa big time. WHY?

Angalia ahadi zake nyingi ni za Pwagu na Pwaguzi kuanzia wauza unga , kubadili mikataba ya madini et al. Huyu ni moja ya wale mahayawani.http://www.forums.mwanakijiji.com/forumdisplay.php?36-Sports-Michezo
 
- Wakuu JF heshima mbele sana, According to the dataz nilizozinasa sasa hivi, ni kwamba Mwenyekiti wa CCM taifa ameitisha vikao vya dharura, yaani Kamati Kuu ya CCM Tarehe 28/3/10 na kingine cha NEC Tarehe 8/4/10 na kwamba ameamuru vikao vyote vifanyike Dar, Karimjee Hall,

- Kinachotisha hapa according to the dataz ni agenda ya hiyo mikutano miwili muhimu ambazo inasemekana anazo yeye mwenyewe kinyume na kawaida ya kutayarishwa na Katibu Mkuu, ambaye inaelezwa aliachwa solemba na Mkulu, alipojaribu kuitisha Secretariat ili ku-set agenda ya hivi vikao!

- Tayari kuna viongozi wameanza kuingiwa na homa kali kuhusiana na hii dharura, ambayo inaaminika kwamba kuna la mgambo nyuma yake kutokana na lugha ya ukali aliyoitumia Mkulu! Hali ya hewa ikitulia nitamwaga some more dataz sasa hivi noma, aahhggrr JF Where we dare mwanangu!

Respect.

Field Marshall Es = Wazee Wa Sauti Ya Umeme!

Naam.....


Kuna watoto wakisikia wazazi wanaongea wanaenda kusema kwa majirani kinachozungumzwa, au wazazi wanawaambia nenda kaseme?

Tena?Mmeanza....

- Bado tuna the Dibibis wawili humu JF, najua na wao siku inakuja karibuni sana, Bwa! ha! ha! ha! ha! ndio tutajua kama walikuwa wanatumwa na wazazi au waliwasikia tu kwa mbali Ha! ha! ha! ha! JF where we dare tutawafunua soon unless wamejifunua wenyewe ingawa wengine tayari wameshaanza, wewe mbunge maarufu kijana angalia sana hawa viajanw wawili maana tunajua kuwa huwa wanakufuata fuata lakini wewe huwajui watakuharibia jina bure maaluni hawa! Bwa! ha! ha! ha!

FMEs!

Mmeanza..why?Hatuwezi kuendelea na hii mada ya msingi bila haya?
 
Back
Top Bottom